Salaam waugwana!
Mimi ni kijana wa Kitanzania ambae bado sijaelewa mchakato mzima wa utafutaji wa vazi la taifa toka ulipoanza, ulipopita na unapoelekea... Hivi hili vazi la Taifa likoje? Na umuhimu wake ni nini? Nani ni mhusika katika hili? Litakuwa linapatikana wapi? Litauzwa ama kugawiwa...
NYumba inapangishwa Maeneo ya KIgambon mita chache kutoka Feri.
Ipo umbali wa chini ya nusu kilometa kutoka Feri
Ina Bedrooms kubwa 4
Seating room moja kubwa sana
Dinning room moja
Jiko (Kitchen moja)
Ina Toilets 2
Ndani ya Geti lenye uwezo wa kuingiza magari 6
BEI NI SHILINGI 600000/- kwa...
Ndugu zangu wasimamizi wa nchi hii wamechoka kiasi kwamba hata watedaji wamejisahau. Mwaka wa kuwaweka wasimamizi wenye kujua wajibu wao ndio huu, jamani watanzania wenzangu tunakila sababu ya kuipumzisha rangi ja kijani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.