JPM angalia hapo mambo ya ndani kuna majipu mengi. Huo mradi wa kubinafsisha viwanja vya OYSTERBAY polisi nina mashaka nao ni rushwa kubwa sana. Toka lini wizara ya mambo ya ndani ikaanza biashara ya real estate?? Mradi huo uahusisha kumwachia mwekezaji kubomoa nyumba za staff hapo na kujenga...
Wee ni mchovu kweli. Unaleta ushabiki kwenye mambo ya msingi!!! Kama ni raia wa kawaida inabidi uchunguzwe akili zko kwani bunge halipo kumsikiliza raisi bali kumsimamia raisi na serikali yake kwa manufaa ya wananchi. Subiri huyo raisi mpenzi atakapoanza kuwaumiza ndipo utakapojutia ushabiki...
Acha unazi wewe.. mkoa anakotoka unahusiana nini na utendaji wake?? Kwa nini kutoka kaskazini iwe dhambi? Kwa taarifa yako kaskazini ni Tanzania na wana mchango mkubwa sana kwa hii nchi ukiachilia siasa zenu za ubaguzi.
Acha uchochezi wee ng'ombe, hakuna mwenye ubavu wa kumnyanyasa mtu anaeendesha biashara zake kihalali. Mliozoea kubebwa kwa kukwepa kodi ndio mnajinyea hovyo mkisikia serikali inabadilika. Mengi alikuwepo na ataendelea kuwepo kwa raisi yeyote atakaeingia madarakani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.