Search results

  1. M

    Rais Magufuli amsimamisha kazi Kamishna wa Uhamiaji...

    JPM angalia hapo mambo ya ndani kuna majipu mengi. Huo mradi wa kubinafsisha viwanja vya OYSTERBAY polisi nina mashaka nao ni rushwa kubwa sana. Toka lini wizara ya mambo ya ndani ikaanza biashara ya real estate?? Mradi huo uahusisha kumwachia mwekezaji kubomoa nyumba za staff hapo na kujenga...
  2. M

    Wanaolilia Katiba mpya ni Wavivu na Wazembe!

    Sijawahi kukutana naupumbavu kama huu
  3. M

    Kashfa Bandarini Dar: Rais Magufuli amsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa TRA, Rished Bade

    uchaga umetoka wapi wee domo kaya? Walimuibia baba yako au uvivu wako unakuwewesesha
  4. M

    Mwanasheria Mkuu abomoa hoja za UKAWA, Asema hazina mantiki kikatiba!

    Wee ni mchovu kweli. Unaleta ushabiki kwenye mambo ya msingi!!! Kama ni raia wa kawaida inabidi uchunguzwe akili zko kwani bunge halipo kumsikiliza raisi bali kumsimamia raisi na serikali yake kwa manufaa ya wananchi. Subiri huyo raisi mpenzi atakapoanza kuwaumiza ndipo utakapojutia ushabiki...
  5. M

    Ikulu na Wizara ya Afya lugha gongana

    Acha unazi wewe.. mkoa anakotoka unahusiana nini na utendaji wake?? Kwa nini kutoka kaskazini iwe dhambi? Kwa taarifa yako kaskazini ni Tanzania na wana mchango mkubwa sana kwa hii nchi ukiachilia siasa zenu za ubaguzi.
  6. M

    ITV kwanini mnarusha hotuba za Mbowe na kuacha za Bulembo kwenye kampeni za urais?

    Acha uchochezi wee ng'ombe, hakuna mwenye ubavu wa kumnyanyasa mtu anaeendesha biashara zake kihalali. Mliozoea kubebwa kwa kukwepa kodi ndio mnajinyea hovyo mkisikia serikali inabadilika. Mengi alikuwepo na ataendelea kuwepo kwa raisi yeyote atakaeingia madarakani.
  7. M

    Vijana tusishikiwe akili

    We unalia lia nini si uweleze CCM itawafanyia nini??
  8. M

    Vijana tusishikiwe akili

  9. M

    Vijana tusishikiwe akili

    UVCCM ni genge la watoto wa viongozi. Sio umoja wa vijana wa Tanzania
  10. M

    Vijana tusishikiwe akili

    Kwa ujinga wenu Masisiem hamuwezi kuamini kama yanawezekana. Ngoja makamanda wakamate nchi uone inavyowezekana
  11. M

    Ninatafakari hatima ya CCM kama Lowassa angekuwa ni mgombea Urais wa CCM

    kwani waliobakia huko ccm wamejisafisha? Kuna msafi yupi huko ccm!!
  12. M

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    ccm wanatia aibu kama huo ndo uzinduzi wanaongelea tuu Lowasa na Sumaye aliyeingia jana kawaongezea cha kuongea. Hawana sera
  13. M

    UKAWA vs CCM katika urais, piga Kura hapa

    Site unaenda jioni!! UKAWA wako site siku nyingi
  14. M

    Dr. Slaa atakuwa adui namba 4 kati ya maadui wa 3 wa Mwl Nyerere

    Kwani amewaambia anaenda CCM. Muwe na adabu na heshma kwa huyu mzee wala hajasema nyie mnatukana hovyo. Huu ni uchochezi.
  15. M

    Dr. Slaa atakuwa adui namba 4 kati ya maadui wa 3 wa Mwl Nyerere

    Acheni kumtukana mzee wetu. Mbona mna kiherehere hata hajasema maamuzi yake mnamsemea.
  16. M

    Rostam naye sasa rasmi CHADEMA

    Acha story za mwaka juzi hizo. CCM is dead lazima izikwe
  17. M

    Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

    Je ataitetea Katiba ya Wananchi aliyoikataa na rafiki yake Chenge akiwa CCM?
  18. M

    Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

    Kaja mwenyewe au na genge lake la mafisadi
Back
Top Bottom