Wananzengo naomba tujadili mambo ambayo mimi binafsi nayachukia yanayofanywa na baadhi ya binadamu. Mambo haya naonaga kama yanatia kinyaa na yanapunnguza heshima kwa anayeyafanya hasa anapokuwa kwenye kadamnasi.
1. Kuingiza kidole puani na kukomba yale mauchafu ya kamasi kuyatoa nje. Hapo mtu...
Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu
Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue...
Jeshi la Tanzania limewataka raia wanaoishi katika maeneo ya pori karibu na mpaka wa Msumbuji kuhama eneo hilo wakati wakijiandaa kupambana dhidi ya wanamgambo, kwa mujibu wa gazeti la kila siku nchini Tanzania,The Citizen.
Mkuu wa operesheni hiyo alisema jeshi litaanza kuwatafuta wahalifu...
Habari wadau!
Nina shida na mafuta ya mise au yale ya mawese yanayotumika kutengenezea sabuni za magadi.
Kwa yeyote mwenye nayo au anayejua yanakopatikana tafadhali naomba anifahamishe.
Ahsante
Israel imesema kwamba imetumia ndege za kivita zenye uwezo wa kukwepa mitambo ya rada ambazo zimetengenezewa Marekani kwa mara ya kwanza katika vita.
Ni mara ya kwanza kwa ndege hiyo kutumiwa vitani pahala popote duniani.
Ndege hiyo ilitumiwa katika operesheni ya kijeshi ya jeshi la wanahewa...
Mimi ni mgeni hapa jijini siku ya tatu sasa toka nimefika. Nimekuwa nikilisikia jiji hili kwa muda mrefu na nikitamani kufika.
Kwa hizi siku tatu moja ya mambo yaliyonishangaza ni kuona wanaume wamebebana kwenye pikipiki abiria kamshikiria dereva kiunoni. Jana nilipishana na pikipiki moja leo...
Wataalamu naomba msaada wenu. Simu yangu aina ya Samsung galaxy note one imegoma kabisa kushika mtandao wala kudisplay imei. Ukiiwasha inawaka kama dk 2 tu then inastack na kuzima.
Pia ukiangalia imei kwa kubonyeza *#06# inaandika null/null pale sehemu ya kudisplay imei number.
Haionyeshi...
Mahakama Kuu nchini kenya imetengua maamuzi ya serikali kufungia vyombo vitatu vya habari kwa muda mpaka suala hilo litakaposikilizwa.
Source:BBC World news
The Kenyan government shutdown of the three largest private TV channels has been suspended by a Kenya high court pending a full hearing...
Ule msemo wa shukrani ya punda ni mateke ndo walidhihirisha wapinzani.
Enzi ya JK mlipewa nafasi ya kutosha kufanya mambo yenu kwa kujiachia. Mzee wa watu alikuwa anawaalika hadi Ikulu mnakunywa juice kwa upendo. Aliwaacha mfanye mtakavyo
Angalia msivyo na shukurani mkaishia kumuita dhaifu na...
Natoa rai kwa Wizara hii inayohusika na jinsia na watoto ambapo nadhani pia kitengo cha ustawi wa jamii ni idara iliyoko chini yake kuweka mkakati wa kuwasaidia hawa single mothers.
Juzi nimepita mahali kuna mwanamke anatakata kulia hadi machozi kazalishwa watoto watatu kila mmoja na baba yake...
Mimi Maulid Said Abdallah Mtulia Mbunge wa Jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya Civic United Front – (CUF) Chama cha Wananchi kwa hiari yangu nimeamua kujiuzulu uanachama wa CUF na kujiuzulu nafasi zake zote za uongozi nilizokuwa nashikilia.
Nimefanya uamuzi huu leo tarehe 02/12/2017 kwa utashi...
Kwanza niwaambie kuwa uchaguzi wa 26.11.2017 umethibitisha kuwa CDM kumejaa watu waoga, wanafiki na wachochezi. Watu wanajiita MAKAMANDA lakini wanajificha nyuma ya keyboard na kuanza kutunga uongo na topics za kupanikisha wananchi tu waonekane wameonewa, huu ni ujinga wa hali ya juu na ni...
Kwa jamii ya kitanzania walio wengi (including me) kuna vitu ambavyo mwanamke akionekana kavaa ni ishara kuwa ni muhuni na malaya japo wengine wanaona ni urembo.
Vitu hivi ni kama:
Hereni za puani
Kutoga nankuvaa hereni karibia nne kwa sikio moja
Vikuku vya miguun
Mapete kwenye vidole vya...
Suala la vyombo vya habari Tanzania kuchaguliwa ni habari gani waandike na zipi wasiandike nao wakaitikia kupangiwa huko ni dhahili kuwa havijiamini na ni unafiki.
Mi naamini hasa kwa hili suala la RC Dar es salaam kuna media nyingi kama si zote nchini zinataman kuandika taarifa zake maana...
Kunaendelea kukucha sasa maseneta wote wameitwa white house kujiandaa na Korea
The entire U.S. Senate has been invited to the White House for a briefing Wednesday on the North Korea situation, amid escalating tensions over the country’s missile tests and bellicose rhetoric.
The USS Michigan, a...
Wadau habari!
Naomba ushauri wenu katika mpango wangu wa kumiliki chombo cha usafiri ambacho ni baiskeli. Nimekuwa na ndoto ya kumiliki gari mda mrefu lakini mambo yanavyoonekana ndoto hii haitafikiwa.
Nimeona mbadala nimiliki hata baiskeli ili nitimize ndoto yangu ya kumiliki chombo cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.