Kama maslahi yanafanana aende Halmashauri chap, huko anakuwa na uhakika na kazi yake kuliko Good Neighbours ambao siku moja wanaweza ku-phase out mradi au wakaamka wamekosa funding
Ni wakuu wa Serikali kwenye maeneo yao ya utawala. Kila kitu kiko chini ya utawala wao kwenye vipande walivyoaminiwa na kupewa na Mhe. Rais wavisimamie. Ndo msingi wa kuitwa wakuu wa Mikoa/Wilaya. Hakunaa mtu mwingine KI-MAMLAKA mkubwa kuliko wao huko walikopangiwa.
Elewa neno KI-MAMLAKA...
Makonda hata huko Arusha anaweza akashine kuliko hata Boss wake, yule jamaa ana kipaji namna pekee labda wamuondoe tena kwenye system ila akiwepo hata kam ni DC ataendelea kukonga nyoyo za watu kuliko hata mabosi zake
Kwenye social psychology kuna kitu kinaitwa Role Confusion! Ndo kinakumba wanawake wa namna hii. Wanawakw Wanasheria, askali/majeshi mpaka watendaji wa kata na vijiji wengi wao wanashindwa kutofautisha roles za kazi zao na za ndani ya familia.
Waalimu always asilimia kubwa wako obedient na ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.