Awali ya yote nawasalimu na kuwapongeza kwa kufanikisha sherehe za Christmas wananchi wa Mkoa wa Arusha kusheherekea kwa amani pasipo hofu japo maisha ni magumu (Pesa Mitaani hakuna)
Mh. Mkuu wa mkoa Ndugu yetu Mrisho Gambo na Mh. Meya wa Jiji la Arusha sasa ni wazi kuwa tunakwenda kuingia...
Nipo hapa The New Safari Hotel kuwaleta Up-dates ya kinachojiri.
Stay tuned......
Up-dates
Viongozi wa meza kuu wameshaingia ukumbini na sasa Mc anamkaribisha Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Arusha, Ndugu Magoma.
Mwenyekiti wa wilaya ya Arusha Chadema Mh. Magoma anawatambulisha wageni waalikwa...
Kamati yagundua ufisadi mkubwa jiji la Arusha
TAARIFA ya Kamati ndogo ya Baraza la Madiwani wa Jiji la Arusha iliyoundwa kuchunguza uhalali wa ufutaji wa madeni ya mapato ya jiji hilo katika kipindi cha miaka mitano iliyopita imegundua ‘madudu’ ya upotevu wa shilingi 843,137,112.00 za...
Leo majira saa saa 9 alasiri wakati natokea Tarangire National Park via Monduli to Arusha.
Nikiwa ndani ya Landcruser na Wataliano watatu, nilipofika Monduli nilikuta kundi kubwa la wamasaiwakiimba huku wengine wamebeba picha ya Edward Lowassa wakisema,
Ninanukuu "MLIMUUWA SOKOINE, MUUENI...
Amani ikae nanyi.
Ninapenda kuuelezea utawala wa Rais Kikwete kwa kuugawanya katika vipindi viwili.
MOSI
Mh. Rais Kikwete alipopewa ridhaa na Watanzania kuingia ofisi ya juu kabisa mwaka 2005, aliweza kubeba matumaini makubwa sana ya Watanzania na kiukweli aliitendea haki ofisi aliyokabidhiwa...
Kwako Mh. Jaji na mzee wetu kwanza pole na kazi.
Nimependa kutanguliza pole kwani ni ukweli usio kuwa na kificho kuwa jukumu ulilonalo ni zito na kubwa sana ukitegemea na umri ulio nao.
Pili shikamoo mzee wangu.
Tatu nipende kukueleza kuwa usipo kuwa makini katika jimbo la Arusha mjini basi...
MWANASIASA Machachari na Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani bungeni,Tundu Lissu, ameponda Safari ya Matumaini ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa, akidai si ya Matumaini, ni ya Matumizi.
Lissu alisema hayo jana katika Mkutano wa Hadhara...
Wandugu jioneeni wenyewe jinsi kile kikundi kinachojiita Wazalendo walivyopokelewa Arusha.
Kilivyonifurahisha ni kikundi hicho kinachojiita wazalendo kushituka kuwa japo wanahutubia watu wachache lakini pia hao wachache ni wafuasi/mafansi wa Chadema ndipo walipoamua kufunga mkutano wao minajiri...
KWA HUU USANII Sitokubali!!
ni usaliti mkubwa na IMENIUMA SANA!!
Kama mtanzania sitokubali kamwe!,
kilichotokea Dodoma bungeni muda mfupi uliopita ni karaha, ni fedheha na ni aibu kubwa!!! nasema ni DHARAU na aibu kubwa usioelezeka!!!, it is just an act of mindless vandalism!! Rais...
NA KAROLI VINSENT
KILE kinachooneka Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima (pichani) ni sawa na sikio la kufa ambalo alisikii dawa,baada ya leo kuibuka na kusema haogopi kulitetea Tamko lilotolewa na jukwaa la kikristo nchini ambalo linawahamasisha waamini wa dini...
Amani ikae nanyi,
Kwa taarifa nilizozipata toka kwenye vyanzo vyangu vya kuaminika na kutokana na kujishuhulisha kwangu katika mtaa wangu wa Melamari (Ikumbukwe kuwa mimi ndiye Mwenyekiti wa Mtaa wa Melamari) Ni kwamba vikundi (VIKOBA) vilivyopo katika mtaa wangu vinatumika kisiasa na...
Ile Operation Delete CCM imeanza kuzaamatunda baada ya wagombea nafasi ya uenyeviti 9 wa ccm kujitoa na watatu kati yao kuomba kujiunga na Chadema.
Wenye viti wa ccm waliotangaza rasmi kujitoa katika kinyang'anyiro hicho cha kugombea ni kutoka :-
Mtaa wa-
Olmatejoo "A"
Olmatejoo "B"
Mama...
Wana Jamiiforums Especial makamanda wote ni muhimu kusoma attached files hizi na kuzielewa vyema ili kuepukana na propaganda za Magamba katika kipindi hiki tunapoenda kushinda kwa kishindo cha Tsunami chaguzi za Serikali za Mitaa.
Wakubwa shikamooni na wadogo marahaba.
Ni ukweli usio pingika kuwa hawa watu watano ndio Watanganyika wenye nguvu ya kuukwaa Uraisi wa jamuuri ya Muungano wa tanzania kama vyama vyao vitawasimamisha. (Nimetumia neno Watanganyika kwasababu kwa Mfumo wa serekali mbili ni ndoto kwa sasa mtu toka...
Ukistaajabu ya Musa Utayaona ya Sitta
Leo asubuhi wakati naangalia Star Tv nimestaajabu nilichokisikia kutoka kwa mwandishi mmoja ambaye ni mgeni wa Doto wa Star TV akisema kuwa ata Marehemu Bi Shida japo alishatutoka lakini kura yake ilihesabiwa.
My take:
Mwenye utaalamu wa mambo ya ahera...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.