Wakuu natumai mko salama, poleni na heka heka za umeme.
Nimekuwa na tatizo la kutenguka kwa bega kwa zaid ya miaka 15, yan dislocation ya kwanza nlipata around 2005 baada ya hapo nimekuwa nikipata hii shida kila baada ya muda flan, sometime naeza kaa ht miez 6 bila kutokea.
Na kila nkipataga...
Wakuu salama,
Katika pitapita ya nyuzi mbalimbali kuna uzi fulani siukumbuki ila kuna mdau alikoment audio yenye hili shairi, hili shairi nimelisikiliza mara nyigi sana na lina ujumbe mzuri sana.
Naomba yule aliyeweka hili shairi anisaidie kupata mashairi zaidi ya huyu jamaa, au hata nkipata...
Wakuu heshima zenu,
Nahitaji kwenda nje ya jiji la Dar kwa mapumziko mafupi ya kama siku 2 ili nipumzishe hii akili.
Nahitaji kwenda Lushoto, Tanga ila sijawahi kufika huko wala siyajui maeneo mazuri.
Nahitaji mahali palipotulia sanaa na penye mazingira natural ya kutosha with enough green...
Wakuu salama,
Hyo Tv yng aina ya evoli screen ndo imebuma kimtindo huo yan inaweka mistari tu, dada ktk harakat za usafi aliminya kioo.
Hili tatizo linapona kwa mafundi wetu wa ki bongo kweli au ndo imeisha?
Wakuu salama,
Kuna uzi nlikuwa nausoma ila bahati mbaya nikawa nimetoka bila kushika title yake wala muanzisha uzi.
Ila Stori yake iko hv Jamaa alimgomea mshua wake kwenda A level kwa sabb ya HKL so akaenda Dar kusaka maisha.
Mwenye title au link aniwekee tafadhali, nahitaji kuumalizia
Ni printer aina ya HP 2620, ni multifunction so inaprint, inatoa copy na kufanya scanning.
Printer bado mpya, ina mwezi mmoja tu
Bei 150,000. Ipo Tabata 0621460223
Karibuni
Wakuu natafuta vitu tajwa hapo juu
1.Printer ndogo(all in one), iwe ya wino au laser
2.Photo printer ile ya kuprintia pasport size(complete set)
3.Digital camera ndogo
Bajeti ni pesa isiyopungua laki 3, maongezi yapo kulingana na hali ya vitu husika.
Nipo DSM hapa.
Piki piki used Inauzwa
Aina: Hero Dawn, cc 100
Mzalishaji: India
Bei: Tsh 1,200,000
Mahali: Dar es Salaam
Inatembea na iko katika hali nzuri, Ilikuwa ikitumika kuendea kazini na kurudi na Haina tatizo lolote.
Karibuni
Picha hizo hzo chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu kuna mtu yeyote anayeuza vitenge humu? Halafu bei za hivi vitenge zikoje mana nimejaribu kuchungulia huki insta naona vinauzwa 35,000 ina mana hamna vya bei ya chin i ya hapo??
Na quality zinakuwaje mana sijui chochote kuhusu vitenge na nataka nimnunulie shangaz yangu nimpelekee zawadi...
Hizi raba nilinunua kwa ajil kuvaa mwenyewe lkn zmenibana, so ukizielewa nirudishie hela
Ni namba 42 na Bei ni 20,000 tu.
Napatikana dsm mitaa ya tbt na posta.
Wakuu kwa mwenye kujua chanzo cha tatizo la mdomo kuwa na ladha chumvi chumvi muda wote, yani kila unachokula au kunywa unahis kina chumvi,kuanzia maji,juis, chai na chakula pia kwenye kula kinapoteza ladha kwa 50% na unapomeza ndo husikii ladha kabisa
Hata mate ukimeza yanakuwa na chumvi...
Wazee hivi viatu nilinunua kwa ajili ya kuvaa mwenyewe ila vimenibana mana ni namba 41. Km umevielewa nicheki unirudishie hela
Viatu ni vya mtumba, Bei ni 40,000/= tu, Namba ni 41
Sent using Jamii Forums mobile app
Wheezing ni ile hali ya kutoka kwa sauti flani kwenye koo wakati wa kupumua i.e kuvuta hewa ndani au kutoa nje.
Hii hali imekuwa ikinisumbua kwa muda mrefu sana aisee, nshajaribu kutibia mara kadhaa lakini huwa inapona halafu inarud tena bada ya ya wk 2 au mwezi.
Hainizuii kufanya chochote...
Baadhi ya vyakula ambavyo sio rafiki kwa Mwanaume kuvitumia kwa Wingi ni vile ambavyo vina kiwango kikubwa cha Estrogen ambayo ni homoni za kike ambazo hupelekea kupungua kwa nguvu za kiume.
Msanii wa bongo fleva Diamond Platinumz amepanga kuanzisha tamasha lake litaloitwa Wasafi Festival ambalo inatarajiwa litakuwa tamasha pinzani na lile la fiesta linaloendeshwaga na Clouds media kila mwaka.
Kila la Heri Dogo Nassibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.