Hi ndg tumefurahi maelezo hayo walakin tutaipataje kwa njia rahisi khususan tupo mikoani mbali huku na tena vijijini ndio kuna dhahabu na tabu ya mecury tumechoka hebu tupe hizi njia mkuu
Shukran hapo umenena tufanye kazi ki wazi na halali hayo ni ya haraka na mazingaombwe poa km kuna ukweli basi nasema mungu awabarikie mfanye nyie ila muwe na tahadhari na matapeli
She sikatai walakin nasema jwa upande mwingine hao wajerumani uliwahi shuhudia mwenyewe au unaambiwa na jama tu? Maana hzi tumesikia tungali tupo mashuleni leo hii pia tunahadithiwa naomba km utafuatilia mwenyeww hata hapa kwetu Iringa yapo maeneo mengi sana na nimeyaona hata mimi pia na zipo na...
Hi bro uhakika bado hauko
Kweli tunaambiwa kuna mali nyingi za thamani kubwa walakin mengi au wengi wao ni wazushi mimi huwa nafatilia sana hz sehemu walakin sijawahi kuona yoyote kati ya hao alifanikiwa. Nadhani ni hadithi tu na uhakika bado hauko
asante sana kwa kutembelea huu uzi ZeMarcopolo bado sina hata kifaa kimoja ili nipo katika mchakati wa kununua vifaa vyote pale lab equipment ipo keko mwanga dar es salaam! ultrasound nayofikiria kununua ni portable, kinacho nikwaza mpaka sasaivi sijajua wapi nitapata wataalamu wa hizo machines...
Heshima kwenu Mimi ni mjasiriamali Mkoani Mbeya nahitaji kufungua diagnostic center Kwaajili ya vipimo vya ultrasound EEG ECG X-ray na laboratory ya damu, sifikirii kua na matibabu labda kwa mbeleni, kwa sasaivi target yangu ni vipimo tu! Nahitaji kujua changamoto zake. Leseni Yake nitaipatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.