Kukimbia JF Sio mwisho wa matatizo hata mitaani utasikia 2 habari za mafisadi magazetini wanaandika habari za hao jamaa hata TV utakuta wanaongelea maswala ya ufisadi utakimbilia wapi?
Gudboy
Mkuu mimi ningependa kujua kuhusu kemikali ya kafeni inayopatikana kwenye RED BULL je? Inauhusiano wowote na kemikali ya kafeni inayopatikana kwenye KAHAWA NA MAJANI YA CHAI?
Mimi ni mwenyeji wa mbeya naishi tukuyu najishugulisha na umachinga. Kuhusu moi mimi sio mwenyeji kabisa. Mimi ni mwanaume ndugu Dicsoverer. Asanteni sana
Nashukuru sana Members wa JF kwa kuguswa na tatizo langu nimepata faraja na mwongozo wa ufumbuzi wa tatizo langu, mungu awabariki sana.
My contacts: +265999290555
email: vumiliamatola@yahoo.com
Kwakifupi: Nikwamba ugonjwa ulianza mwaka 1991 nikiwa darasa la kwanza, Mguu ulianza kuniuma wenyewe baada ya hapo nikapelekwa hospilalini nikalazwa ukawa umevimba mguu wote vikatoka vidonda viwili vilikuwa vinatoa usaa na vipande vya mifupa.
Mwaka 1993 ukaanza mkono ukatokea uvimbe baada ya...
Ninatatizo la mifupa toka nikiwa mdogo hadi leo hii bado nateseka nimejaribu dawa nyingi bila mafanikio huwa unatokea uvimbe mikononi na mguuni baada ya kupasuka uvimbe huwa vinatoka vipande vya mifupa watalamu wanasema kuna mdudu ndani ya mifupa ndo anakula mifupa, naombeni ushauri nifanyeje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.