Kunawatu mpaka leo wanashangaa Sugu alipataje kura nyingi kuliko Mbunge yeyote hapa Tanzania..!!
Jibu ni rahisi tu, Huyu jamaa anapendwa mno mpaka na maadui zake wanapanga foleni kupata kumbumbu ya vitukuu vyao hapa duniani.. Na pamoja na madhira yote jamaa anawamwagia upendo tu..!!
Guys mambo zenu....
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu... kwa mwenye kujua shule nzuri iliyopo Tabata Ukiondoa Tusiime nitashukuru akinipa uzoefu wake hapa. Ikiwa na unafuu wa Ada (chini ya 2ml per year) itakuwa poa sana
Hayo tu Wadau
BACK TANGANYIKA
KESI YA LEMA: Hakimu Mahakama ya Arusha amejitoa kusikiliza kesi ya uchochezi dhidi ya Godbless Lema, baada ya Wakili wa Serikali kudai hana imani naye.
=====
Hakimu huyo ni wa pili kujitoa katika kesi hiyo, kwani Mei 29, Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Arusha, Desderi Kamugisha pia alijitoa kwa...
Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anayeichezea klabu ya KRC Genk yaUbelgiji Mbwana Samatta usiku wa November 30 2016 ameingia kwenye headlines baada ya kufanikiwa kuiongoza timu yake ya Genkkupata ushindi dhidi ya Waasland-Beveren.
Samatta akiwa na KRC Genk katika uwanja wa...
Kamati ya maswala ya afya nchini Kenya imependekeza Daktari feki aliyekamatwa nchini humo kuruhusiwa kujiendeleza na masomo ya udaktari.
Kauli hiyo imetolewa baada ya kubainika kuwa daktari huyo feki aliwafanyia upasuaji wagojwa tisa kati ya hao mmoja ambae alikuwa mjamzito ndio alipoteza...
Habari ladies an gentleman,
Yap,
Nikiwa nafanya kazi kwa boss mmoja pale Boda, Pale nyumbani kulikuwa na ka house flani hivi... Basi bwana mi ndo nakatamani, nakamendea, ninaugwadu nako ile mbaya.. Aisee kale katoto kalikuwa kazuri bwana asikwambie mtu..!!
Naam
Siku ya siku hii hapa...
Wakuu salam,
Naam kama umeshapata Ticket yako au tuseme Kadi inayokuwezesha kupata tiketi, tunaomba uzoefu wako hapa.
Tuelekeze tunakoweza kupata kadi hiyo na hatimaye Tiketi husika. Au tunaomba utaratibu mzima wa kuwezesha kuona Machi hiyo.
Vilevile unaweza kutujuza pengine, madaraja na...
#Habari:Afya ya Mbunge wa Arusha , GODBLESS LEMA anayeshikiliwa na Polisi Mkoani Arusha ni mbaya baada ya kususia kula akiwa Mahabusu tangu alipokamatwa juzi asubuhi .
Source Itv
My take.
Hatua za makusudi zinatakiwa kuchukuliwa. Mahakama na Police wasimame kwenye Sheria. Lema...
Nimefika Mgodi wa Nyamhuna unaodaiwa kuwa raia wa china ambao ni sehemu ya wamiliki wa mgodi huo wakishirikiana na watanzania walimtesa kinyama na kumjeruhi mmoja wa mtanzania mwenzetu aliyekuwa akifanya kazi katika mgodi huo uliopo Katoro-Geita.
Habari ya huyo rai wa china ipo hapa=>GEITA...
Wakuu Salaam,
Naam hiyo ndiyo halihalisi kwenye mitaa mbalimbali ya Kariakoo hapa Dareslaam. Dola imekuwa adimu sana,upatikanaji wake ni wa shida. Hali hiyo imesababisha kupaa kwa Dola, haikamatiki.
Matokeo yake ni kupanda kwa bidhaa mbalimbali kwenye masoko kadhaa hapa Mjini. Hivi sasa kama...
NGOJA NIWAELEZE UKWELI!
Kama mzee wetu anao washauri, wamwambie kuwa "DALILI ZA MVUA NI MAWINGU". Na kwamba, NGOMA ivumapo sana hupasuka na tena ajulishwe kuwa VITANI hakuna michezo ya KUJIFICHA na KUONEKANA baadaye, jana niliwaambia kuwa najua CUF inao watu makini wanaojua nini haki ya PROFESA...
Mwanadada machachari wa Muziki nyororo wenye kuamsha hisia za kidume kisichopandisha kuweza kuumudu majukumu ya Mume kwa mkewe bila wasiwasi, ameonekana ndani ya Bunge kuwasabahi Wabunge wa CCM baada ya kupata Stress kutokana na kutokuwepo kwa Wabunge wa Upinzani Bungeni.
Hali hiyo imeonekana...
Wakuu kumekucha,
Napita katika mitaa ya Kariakoo, mitaa ni open, hali ya msongamano kama ilivyo kawaida haipo tena. Njia ni nyeupee
Watu wamekaa makundi makundi hawaamini kinachoonekana, hali ni tulivu hakuna vurugu wala kokoro, kumetua kimyaa. Wafanyabiashara wa Kariakoo wanashangilia mioyoni...
Mwanamume anayetarajia kuwa mgombea mkuu wa upinzani kwa urais katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, anatarajiwa kufika mbele ya mahakama leo kujibu mashtaka yanayaomkabili ya kuwaajiri mamluki kutoka mataifa ya nje.
Mawakili wa Moise Katumbi wanasema Gavana huyo wa zamani wa jimbo lililo na...
Mwanasiasa mashuhuri Jamhuri ya Demokrasi ya Congo Moise Katumbi amethibitisha kuwa atagombea urais kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Novemba.
Mfanyabiashara huyo na Gavana wa zamani wa jimbo la Katanga alitoa tangazo hilo kupitia kwa mitandao ya kijamii.
Muungano wa vyama...
Hayo yamesemwa na Waziri Muhongo akinukuliwa na gazeti la Mwananchi la leo.
Inadaiwa kwamba, mara baada ya kukamilika kwa mradi huo Tanzania itakuwa inakusanya kiasi cha shilingi 24000 kwa kila pipa litakalopitishwa kwenye Bomba hilo ambazo ni sawa na Shilingi Bl 4.8 kwa pipa 200.000...
Guys habarini za jioni...
Kwasiku kadhaa sasa kumekuwa na sintofahamu juu ya sehemu haswa litakakopita Bomba la Mafuta ghafi toka Uganda. Nchi za Tanzania na Kenya kwa nyakati tofauti zimeonekana kila moja ikitaka Bomba hilo lipite kwake. Hali hiyo imezusha hofu baina ya Washirika hawa wa...
Wakuu habari za kitambo kirefu....
Naam ni muda sasa umepita tangu Magufuli amteue jamaa huyu kuwa Waziri wa Wizara inayohusiana na mambo ya Mifugo. Uteuzi huo ulikuja baada ya kazi iliyoonekana kama ni ya kutukuka aliyoifanya bwana huyu alipokua N/Waziri wa Fedha.
Alipokabidhiwa Wizara hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.