Habari zenu wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavyosema. Katika mahafali ya wahitimu ya shahada ya juu ya uhasibu "CPA" mwezi November mwaka huu, mkurugezi wa NBAA, Pius Maneno aliahidi kuwatafutia kazi wahitimu wote ambao hawana kazi.
Ningeomba mrejesho kama kuna ambaye ameshaitwa kazini...
Kumekuwepo na mijadala kwenye mitandao ya kijamii inahusu mzee huyu anayefahamika kuwa ndo aliyebuni nembo na taifa ambaye saa hivi anapokea matibabu muhimbili kwa hisani ya serikali, ila kuna watu wanaosema sio yeye aliyehusika na huo ubunifu. Kwa wale wanaomfahamu mzee waje watupe ukweli.Moja...
Jana nimepokea ujumbe kutoka Airtel wakiniambia wanitoza sh. 180 kama maitainance charges kwa kuwa sijatumia Airtel money. Hii imekaaje wakuu? Kwa uelewa wangu bank ndo zinatoza hii ada. Sijajua kama mitandao mingine wanafanya hivi. Kama nao wapo huu ni wizi mkubwa sana ikitegemea sijawahi...
Wa kunikosoa wanikosea ila lowasa aliposema anataka chadema itoke kwenye uharakati nadhani watu hawakumuelewa. Niseme tu lowasa anajua wakati gani atumie silaha gani kumdhuru adui. Alishasoma kuwa siasa za kiuharakati hazitafua dau msimu huu. Watu waliponda ila aliona mbali. Jamaa ana mikakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.