Mkuu huku kuna ambao wameshadhulumu mali za wajane. Usidhani watasapoti hii kitu. Ingekuwa tunatafuta mali kwa ajili yetu sisi tu tusingejenga maghorofa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na 10x10 ni sq. metre 100 so unaweza kuona ni vyumba vingapi. In short unaweza lakini vipi kuhusu eneo la akiba kama kwa ajili ya parking?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.