Nyumba inauzwa Sinza Mapambano about 600 metre from Shekilango Road, ina vyumba vitatu, sebule, dining lounge na jiko! Plus uwa wa kutosha ambao una vyumba viwili vya kupangisha,bei 230m and the price is negotioable. For all interested parties please PM me
Jamani mimi mwenyewe natafuta nyumba ya kupangisha iwe maeneo ya makumbusho,vyumba viwili au vitatu vya kulala bei kuanzia laki mbili na nusu hadi laki nne,iwe na uzio hata kama ukiwa wa kuchangia sio mbaya lakini si zaidi ya familia mbili. Mwenye info yoyote naomba uniPM au weka namba yako hapa...
habari zenu wanajamvi wenzangu. well ndo hivyo tena mi ni mgeni humu na minaomba ushirikiano wenu ili tuendeleze gurudumu hili la MAPAMBANO, well you heard me right mi ni mwanamapambano na nimekua nikiangalia jinsi yanavyoendelea na nia yangu ya dhati ndo iliyonifanya niamue kuchukua hatua moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.