Salamu waungwana.
Naomba kuuliza kuhusu gari inayoitwa Tata Ace, cc650, kuhusu upatikanaji wa spea na umadhubuti wake, uwezo wake. Dhidi ya Suzuki Caryy.
Naomba kuwasilisha
Samahani naomba isichukuliwe maana tofauti ya kumlenga mtu au kiongozi flani .lengo kujengeana utaratibu bora wa uongozi na madaraka na ni mtazamo tu.
UShauri
Kuanzia waziri, mkuu wa mkoa mpaka mkuu wa wilaya na afisa tarafa ni vema wana siasa na Hata wataalam wakateuliwa. Kuanzia ukatibu...
Shirika la Ndege la Kenya (KQ) limepanga kupunguza marubani, ikiwa ni mpango wa Shirika hilo kupunguza asilimia 40 ya wafanyakazi wake kufuatia janga la CoronaVirus
Katika barua yake kwa Chama cha Marubani (Kapla) Mkurugenzi Mtendaji wa KQ, Allan Kilavuka amesema kufuatia ukaguzi waliofanya Mei...
Salamu wana bodi,
Nina shida na gear box ya nissan caravan. Natafuta used. Msaada tafadhali.
Hata kwa asiye nayo ningeoenda nipate mchango kuwa bei zake zikoje.
Asanteni
Salaamu
Naomba kuuliza sehemu ya kujaza muda wa kupeleka return najaribu kujaza imekwama, je wenye ujuzi naomba msada inatoa ujumbe huu
Accounting year to be only dates at the end of the month. / mwaka wa hesabu uwe tarehe tu mwisho wa mwezi.
Nimejaribu kuweka tarehe bila mwaka yaani mwezi na...
Salaamu.
Sumatra wakati huu wanafunzi wanarudi majumbani kwa dharura ilipaswa mkague usalama na nauli zinazotozwa.
Msisahau bumu halijatoka kwa wengine wa vyuo vikuu. Pia wazazi ndo tumejikwamua ada kwa wanafunzi wa sekondari (January to March) inajulikana mifukoni peupe
Hoja ni Magari...
Salaam!
Naomba kujulishwa aina ya vibali au leseni nitakavyohitajika kuwa navyo nikiwa nataka kuanzisha duka la kuuza mbolea hasa NPK, DAP na Urea.
Pia, nitauza na mbegu za mazao mbalimbali ila sitaweka madawa ya mifugo.
Asanteni.
Habari?
Je Kati ya kampuni hizo naomba msaada ipi ni kampuni yenye vifaranga Bora vya kuku wanyama na mayai.
Nataraji kuingia kwenye iyo biashara hivi karibuni.
Asante
SALAAM WANABODI
NINA NISSAN CARAVAN AMBAYO NI AUTOMATIC NA INATUMIA PETROL NA IMEKUA IKIPIGA KAZI ZA DALADALA .
KUTOKANA NA UZEMBE FLANI INJINI ILIPATA TATIZOIKAZIMA GAFLA ...FUNDI AKASHAURI CYLINDERHEAD IKAPIGWE PASI.
BAADA YA KUPIGWA PASI IMEWAKA NA INATEMBEA ILA IMEJITOKEZA MAMBO...
SALAAMU WANABODI,
NAOMBENI USHAURI KWENYE MAGARI HAYO MATATU YAANI LADA NIVA,ISUZU TROPPER,DAIHATSU ROCKY.KWA BARABARA MBOVU ZA VIJIJINI AU SEHEMU AMBAZO NI NYIKA HAKUNA BARABARA RASMI.
PIA CHANGAMOTO ZAKE KWENYE UIMARA,MATUMIZI YA MAFUTA,MUINGILIANO WA VIPURI NA MAGARI MENGINE/KAMPUNI...
Husika na mada
Naomba kujua gari aina ya bjc bj212 wengine wanaziita baw 212 je zinaingiliana vipuli na aina gani za gari za kijapan hasa injini na gia box.
Asante
Naomba kuuliza sehemu katika gari nissan caravan injini namba ka24834689x ambapo control box hukaa,nimeangalia kwenye dash board sijafanikiwa, naomba msaada
naomba kuuliza wapi nitapata injini bora ya mtumba ya mark 2 gr,shafti ilishachongwa nataka kubadili moja kwa moja injini maana gharama za kuchonga na kununua baadhi ya vipuli naona ni ghali kiasi,kuna watu wamenishauri nitafute injini mpya.msaada tafadhali
Naomba kuuliza kuhusu gari aina ya BJC -jeep.
spea uptaikanaji wake na mambo mengine.muhimu
kuna gari imepaki na mhusika anataka kuniuzia,mimi nimevutiwa na 4wd na shepu yake kwa ujumla
matumizi ya gari ni kwenda kukagua mashamba yangu vijijini.
mwenye gari alikuwa mtumishi wa...
Salaamu,
Naomba ushauri,
Kwa wazoefu nataka kuagiza gari nje(gari mtumba),bajeti yangu ni milioni 15.
Naomba wenye uzoefu wanishauri maana itatumika kijijini hakuna lami pia matumizi ya mafuta,upatikanaji wa spea na uvumilivu wa gari.
Muda mrefu itatumika na ndugu na wazazi ila mimi mara...
salaam!
nimeanzisha ufugaji na nataka kuwa na shamba kubwa la ufugaji,eneo nimepata na nimeanza kiasi sehemu nyingine kabla sijahamia rasmi kwenye shamba kubwa
gharama ya kununua chakula iko juu,je kuna mtu anafahamu sehemu ambapo mashine zinauzwa za kutengeneza vyakula vya mifugo hasa...
salamu wanajukwaa!
nina shamba ambalo nimeamua nipimishe viwanja.nimepata mchoro toka wizara ya ardhi sasa nahitaji ushauri na bei elekezi za upimaji viwanja.
eneo lina heka 20 liko mkoa wa pwani.
nimekwenda halmashauri husika (nilishauriwa wapimaji wanapatikana hapo) wamesema mtaalamu...
Salamu !nataka Nianzishe Kilimo Cha Umwagiliaji Maeneo Ya Wazi Na Pia Nilime Kwa Kutumia Green House.nimekutana Na Changamoto Ya Maji Na Nikaamua Nitafute Mbinu Ya Kua Na Kisima Kirefu Ili Kua Na Maji Ya Uhakika Na Pia Nifanye Kazi Kwa Ufanisi.
Changamoto Ya Pili Ambayo Naomba Mnisaidie Je Kuna...
Salamu Wadau!
Napenda Kuuliza Inawezekana Kubadili Injini Ya Pikipiki Kuwa Jenereta?vifaa Gani Vinahitajika Kubadili Mfumo Huo.naomba Msaada,injini Nayotaka Kubadili Ni Honda Cc Sabini (ya Kijapan)
Natanguliza Shukrani Zangu Za Dhati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.