Habari zenu? Jamani yeyote alie mpenzi wa tamthiliya hii inayooneshwa ITV na CITIZEN tupeane habari zaidi ningependa kujua anaefahamu marudio yake kwenye citizen tv maana wao huionesha saa8 mda wa taarifa ya habari huku kwetu usiku. Je marudio yao ya wiki nzima ni lini na muda gani?? ITV hawapo...
Ni baada ya mikoa 8 kukutanisha walimu wake wa shule za msingi wafundishao darasa la kwanza wapatao 4000 leo hii, ikiwa ni mwisho wa mafunzo ya mtaala mpya wa Kusoma Kuandika na Kuhesabu (KKK) lakini walimu hawajapewa posho zao na nauli ya kurudi ndipo wameleta fujo na vurugu...
Nitawajuza zaidi
Habarini!?
Naomba msaada wataalamu ni miezi miwili sasa tangu nijiunge na uzazi wa mpango ili kurahisisha kupanga uzazi sasa tatizo ni kuwa sina hamu tena na tendo sina kabisa sijisikii chochote nikiwa uwanjani kwa fundi selemara!
Nimeweka kijiti, je nifanyeje maana naona mwenzangu anakereka...
Habarini?
Utu uzima dawa, naomba kuongea na nyie watu wazima ambao pengine mmeoa na kuolewa au mnaishi Kama mume na mke bila ndoa!
Kutokana na malalamiko meengi ya wanandoa na kuvunjika kwa ndoa nyingi pengine watu walioana bila kuchunguzana au walichunguzana ndipo wakaoana na baadae...
Habari wandugu wa jukwaa hili.
Wajameni nimeambiwa na kusikia tabia walizonazo wanaume wengi waliolelewa na mzazi mmoja hasa Mama.
Kuwa ni wanaume wanaojali na kuthamini wake zao japo sijathibitisha hili.
Wengi wao nimegundua ni watu wakudeka sana, wapo legelege sio wakamavu pia...
Habarini!?
Nimesikitishwa na tukio nililoliona wiki hii kwenye pitapita zangu ni binti Wa darasa la 4 amekataa shule akitaka aendelee na maisha ya kujiuza!
Ni binti ambae kwa mahesabu ya haraka atakuwa na miaka12 na kamwili kakuvutia kalikoletwa na kuvunja ungo mapema!
Baada tu ya kuvunja...
Turejee kunako sita kwa sita!!
Huu msemo Wa baadhi ya wenzetu humu jamvini au mtaani mwetu mtu kusema mwandani/ mpenzi wangu anajiweza sana tukiwa faragha;
Hivi kinachofanya mtu asemwe anajiweza au yupo vizuri uwanja Wa fundi selemara ni nini?
Je kwakua hapumziki hadi dakika90! Anajua...
Habari
Naomba kufahamishwa tiba ya kiungulia kinanisumbua hasa nikila vitu vilivyopoa Kama maharage viazi vitamu hata kitu chochote chenye harufu ya kuungulia au kushika n.k msaada please.
Natanguliza shukrani
Habarini
Leo tuzungumzie hilo kwenye kuhudumia familia ni nani Wa kwanza anaetakiwa kuwa mstali Wa mbele kwenye kutoa huduma kwenye familia
Kuna familia nyingine mwanamke ndo anaehudumia familia baba anatumia pesa kwenye mambo yake,Familia nyingine mwanaume ndo anaewajibika huku mwanamke...
Habarini,
Wadau hebu tujadili hili suala mara nyingi mwanamke baada ya kujifungua wengine huchelewa kuanza kupata ada ya mwezi kwa mwingine huchukua miezi kadhaa hata miaka miwili bila kupata kabisa na mwingine baada ya siku arobaini tu huingia mwezini
Napenda kufahamu hili, je kuna madhara...
Habarini!!
Huu msemo sio mgeni kwako na kwangu hata mimi nilikua nikikua huku nausikia na Sasa nimeamini kuwa kupenda ni Mara moja tu
Nimekuwa kwenye mahusiano hapo nyuma lakini sijawahi kupenda, sijawahi kumlilia mwanaume kwa lolote wala sijawahi kuomba msamaha nadhani mfumo jike...
Habarini????
Napenda kufahamishwa wadau ndugu yangu ambae ni mwalim amehama kituo kimoja kwenda kingine kwa kuomba uhamisho, je anaweza kulipwa fedha ya usumbufu?
Kwenye kituo alichohama alipangwa mwaka Jana ajira ya 2013 na mwisho Wa mwaka Jana akahamia kituo kingine ndani ya wilaya...
Habarini
Natumai nyote mu wazima kabisa nami namshukuru Mungu nipo vyema!
Hebu tuligeukie suala hili la umri kwenye mahusiano yetu ya kimapenzi!
mimi sio mfanya utafiti ila naongea kwa ufahamu wangu tu
Utofauti wa umri je pia ni kigezo cha kujenga mahusiano bora? Namaanisha age difference...
Habarini,
Natumaini mu wazima, leo hebu tugeukie kanda ya ziwa tupeane tabia za wasukuma. Mdogo wangu anatarajia kuolewa hivi karibuni na msukuma mmoja hivi, sasa naombeni mtusaidie kujua tabia zao. Kama kuna mila na akitakiwa kwenda ukweni usukumani inabidi afanye mambo gani kufanana nao ili...
Habarini???
Leo tuzungumzie kuhusu Lasta, kwa nilivosikia mimi ni kuwa lasta fari ni dini na muhusika anatakiwa aenende kwa kufuata taratibu zilizowekwa
Muhusika anatakiwa awe ni mtu mpenda amani, anaejali wengine kwa kufuata taratibu na sheria fulani za kutokuvunja haki
Muhusika...
Habarini??
Natumaini mu wazima, Leo ngoja tujadili kidogo steaming asilia ambayo unaitengeneza mwenyewe na kuboresha afya na muonekano Wa nywele zako
Mahitaji;-
parachichi
yai la kuku Wa kienyeji
Asali
hatua;- chukua parachichi lako likate toa ile nyama ya ndani weka kwenye chombo...
Habarini???
Nimeshuhudia matukio matatu ya aina hii ya baba wa familia kutoka kimapenzi na bintiye, wa kwanza ni mwanaume aliembikiri mwanae wa darasa la 6 wa kumzaa mwenyewe baada ya kuachana na mkewe
Wa pili ni baba anaetembea na bintie wakati mkewe wa ndoa yupo na anaishi na wote wawili...
Habarini??
Nadhani wengi wetu mmekwisha sikia hii habari ya chumaulete hasa kanda hizi za pwani kama tanga na pwani
Hivi majuzi nilikwenda kumtembelea jamaa yangu mmoja anakibanda cha Mpesa, gafla akaja mzee mmoja anataka kuwekewa hela laki tatu kwahiyo akatoa elfu10 thelathini akampa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.