Tunatakiwa tujifunze na tuige...moja kat ya sababu za MAREKANI kuwa juu kiuchumi mpaka leo n kwamba...wakati vita vya dunia vinafanyka marekani alijkta katka uzalshaji tu bda ya vta nch nyng zloshrk vita hyo zlikuwa na hali mbaya kiuchumi kwasababu zlikuwa hazizalish bdala yke zlshughulika na...
#UpdatesKimataifa
Urusi tayari imesogea kwenye Mpaka wake na Korea kaskazini na kufunga silaha Nzito za kutungua Ndege Pamoja na kudaka Makombora Ya Marekani Dhidi ya Korea kaskazini.
Urusi imekiri kuwepo kwa uchokozi wa Marekani katika Rasi ya Korea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.