Asante sana kwa useful info. Mi tayari nina kampuni, naomba kuunganishwa na viwanda vya China hasa vinavyo deal na utengenezaji wa mashine za kuchakatia/kukamulia nafaka mfano alizeti, mise na vifaa vingine vya kilimo. Naomba link au code au channel
Comment nzuri. Ukikutwa na hilo tatizo sio mwisho wa maisha. Kama unaamini kuwa na watoto ndio kila kitu waweza kuasili. Ila hata hao walio na watoto bado hawanaridhika na maisha bado wanahisi something is still missing. Kwahiyo ndugu mambo yote ni ubatili hapa duniani ni kama kujilisha upepo...
Wizara ya afya ijikite zaidi kwenye kinga kwa njia ya kuelimisha jamii kwa kuitumia idara ya maendeleo ya jamii. Badala ya kujikita kwenye tiba na kuitenga idara ya maendeleo ya jamii.
Hii itasaidia kupunguza msongamano wa watu wanaougua magonjwa ya kijinga kwenye zahanati zetu.
Amina Asante dia kwa comment yako nzuri inayofaa kwa wanawake wote. Ni kweli mke hatakiwi kuikimbia ndoa yake au nyumba yake ambayo wamejenga wote na mumewe, aondoke aende wapi. Hakuna anayetakiwa kuondoka kati ya mume au mke maana wote pale kila mtu ni kwake.
Pole ndugu hili ni tatizo. Sisi binti yetu alipoingia chuo kikuu mwaka wa kwanza tu akajiozesha mwenyewe bila sisi kujua. Tukaendelea kulipia gharama za chuo. Pesa ya mwisho tuliyomtumia kulipia chuo ndio ikawa gharama ya uzazi yan labour. Tuliumia sana baada ya kujua hilo. Hadi leo ni miaka 2...
Kana kwamba kazi ndo inawaoa, mi pia swali hili silipendi. Utasikia wakisema eti mume wake ni Bodaboda, badala ya kusema mume wake ni Rweyemamu. Hiyo pia sio nzuri maana bodaboda sio mtu bali ni shughuli inayompatia kipato.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.