Search results

  1. Kabota

    Major Lazer waja na ‘Loyal’, awamu hii wakiwa na Kizz Daniel na Kranium

    Major Lazer wameachia wimbo mpya, ‘Loyal’ waliomshirikisha staa wa Jamaica, Kranium pamoja na hitmaker wa Nigeria, Kizz Daniel, Jumatano hii. Wimbo huu umekuja na video yake, ya nne katika ushirikiano wa Major Lazer na muongozaji wa Afrika Kusini, Adriaan Louw Tazama video ya Loyal hapa...
  2. Kabota

    Major Lazer waja na 'Tied Up' wakimshirikisha Mr Eazi & Raye

    Major Lazer wameachia wimbo mwingine uitwao “Tied Up” wakimshirikisha staa wa Nigeria, Mr. Eazi pamoja na Raye. Video ya wimbo huu ni ya tatu katika ushirikiano wa Major Lazer na muongozaji wa Afrika Kusini, Adriaan Louw. Tazama video yake hapa: “Tied Up” umekuja baada ya kutoka...
  3. Kabota

    Staa wa Nigeria, Ycee aungana na DJ Maphorisa wa Afrika Kusini kutengeneza remix ya wimbo namba 1

    Msanii wa Hip-hop wa Nigeria, Ycee ameungana na mtayarishaji wa muziki na muimbaji wa Afrika Kusini, DJ Maphorisa kwenye remix ya wimbo wake unaofanya vizuri barani, ‘Omo Alhaji’. Ikifanyika jijini Johannesburg, na kuongozwa na La Dupont Productions, remix ya wimbo huo inahusisha rap...
  4. Kabota

    Tafsiri ya Sizonje - Wimbo wa Mrisho Mpoto

    Utunzi mahiri wa mashairi na ughani uliotukuka wa Mrisho Mpoto, umeligusa sikio la Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ambaye ameeleza kuwa shabiki mkubwa wa kazi za msanii huyo hususan wimbo wake ‘Sizonje’. Akizungumza na Mpoto jana, muda mfupi baada ya kuwasili...
  5. Kabota

    Rapper wa Malawi Tay Grin aja na ngoma hii akiwa na 2Face

    Malawi na Nigeria zimekutana kwenye collabo moja ya nguvu. Supastaa wa rap kutoka Malawi, Tay Grin ameachia single mpya aliyoipa jina, Chipapapa na kumshirikisha nguli wa muziki wa Nigeria, 2 Face Idibia aka 2 Baba. Ngoma hii kali na ya kuchezeka, imetokana na urafiki wa muda mrefu kati ya...
  6. Kabota

    Uza kitabu chako/nunua kitabu kwa app ya Vitabu (Google Playstore)

    Hawawezi kushare sababu kitabu kinapopakuliwa kinahifadhiwa kwenye virtual library ya kwenye app ambayo haikuwezeshi kushare. Hakibaki kwenye simu
  7. Kabota

    Uza kitabu chako/nunua kitabu kwa app ya Vitabu (Google Playstore)

    Vitabu App ni application maalum ya simu ambayo itatumika kama sehemu ya kuuzia vitabu ya aina mbalimbali. Ni app iliyo chini ya kampuni ya Mindtap Tanzania Limited inayomilikiwa na watanzania. App hii imetengenezwamahsusi kama njia mbadala ya wachapishaji wa vitabu na waandishi kuuzakazi zao...
  8. Kabota

    Tanzanian author pens a book about Beyonce and Jay Z - Daily Nation Kenya

    Do you want to read a book about the lives of famous Hollywood couple Beyonce and Jay Z, or are the numerous tabloid stories enough to give you an insight into their lives? A Tanzanian author, Fredrick Bundala, has written a book titled Beyonce & Jay Z Maisha Mapenzi Na Maumivu, in which he...
  9. Kabota

    Nunua Kitabu cha Kiswahili cha maisha ya Beyonce na Jay Z, kinapatikana kwa Tshs 10,000 tu

    Mwandishi akifanikiwa na kuwa na maisha ya kuinspire ataandika chake, acha atengeneza jina kwanza
  10. Kabota

    Nunua Kitabu cha Kiswahili cha maisha ya Beyonce na Jay Z, kinapatikana kwa Tshs 10,000 tu

    Hapo ndipo tunapokosea wabongo. Unapoangalia movie za Hollywood, unaposoma vitabu vya hadithi vilivyoandikwa na waandishi wa Marekani kwa kuzungumzia maisha yao, unapoangalia tamthilia za Kikorea nk huwa unajiuliza hivi pia? Kwanini watanzania mnapenda kujichukulia wa hapahapa? Think globally...
  11. Kabota

    Nunua Kitabu cha Kiswahili cha maisha ya Beyonce na Jay Z, kinapatikana kwa Tshs 10,000 tu

    Mtawasoma? Si kila siku mnawatukana? Pia inspirations hazitoki kwa watu wa ndani tu. Tanzania ina watu zaidi ya milioni 50, wapo watakaopenda kukisoma, ni wazi wewe sio target audience na haumshtui mwandishi
  12. Kabota

    Nunua Kitabu cha Kiswahili cha maisha ya Beyonce na Jay Z, kinapatikana kwa Tshs 10,000 tu

    Mkuu kuna njia nyingi za kufanya research moja wapo ni kutumia vyanzo vingine nk, sio lazima umhoji mtu moja kwa moja. Mfano walioandika historia za Nyerere nk sio wote waliomhoji bali wengi wametumia hotuba zake, maandiko yake, kile alichokifanya, kuhoji wanaomfahamu nk. Ni suala la kawaida...
  13. Kabota

    Nunua Kitabu cha Kiswahili cha maisha ya Beyonce na Jay Z, kinapatikana kwa Tshs 10,000 tu

    Haijalishi kama wewe ni shabiki wa muziki au la lakini ni wazi kuwa Beyonce ni mtu aliyefanikiwa zaidi kwa sasa duniani na pamoja na kuwa ni Mmarekani, bado mhitimu wa chuo wa Tanzania unaweza kujifunza mengi kutoka kwake iwapo utasoma kitabu changu: Maisha, Mapenzi na Maumivu: Beyonce na Jay Z...
  14. Kabota

    Nunua Kitabu cha Kiswahili cha maisha ya Beyonce na Jay Z, kinapatikana kwa Tshs 10,000 tu

    Kitabu kipya cha maisha ya Beyonce na Jay Z kimeingia mtaani. Ni kitabu kilichoandikwa kwa kina kuhusu maisha ya wanandoa hawa maarufu duniani. Kina kurasa 100, picha za kuvutia na historia zao zimeandikwa kwa ufasaha sana. Kinauzwa kwa shilingi 10,000 tu. Unaweza kuletewa ulipo popote Dar na...
  15. Kabota

    Beka Ibrozama afunika kwenye cover wimbo wa Adele "Hello"

    Asante kwa kuuona ukweli. Muziki unaujua ww
  16. Kabota

    Beka Ibrozama afunika kwenye cover wimbo wa Adele "Hello"

    Ni kwasababu Dela ni Mkenya Beka ni mtanzania thus anakuwa bado sana?, Autotune ulioiskia mi ipi hapo? Hiyo ni sauti ya original na hata reverb na echo unayoiskia haimodify sauti bali ni technique za sound engineering tu. JF muwe Great Thinkers na sio Great Discouragers
Back
Top Bottom