Babu yangu aliwahi kuniambia ''Meku mwanamke akudharau wewe ni masikini lakini sio kwenye uanaume wako''.
Ha ha ha nimekipenda hcho kipande aiseee!!mianaume ya ckuizi ,mivivu,km co mvivu Ana kibamia hajui kukitumia!!
Ucjilaumu sana na kukata tamaa,ni kwambie kitu Mungu anakuepusha na kitu na ndio maana yanatoka hayo yanayotokea ,ucjali yupo Yule ambayo Mungu amekuandalia hata angalia ufupi wako,weuc wako wala hicho kibamia,na wala c kitambo kirefu ,c unajua Mungu anafanya kwa Saaa na wkt ulio sahihi,so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.