from the look of things, inaonekana binti ana pesa ndefu ndiyo maana anabadilisha mijamaa kama mashati wakati kaka mtu yuko 'apeche alolo' ndiyo maana anamng'ang'ania binti..... i stand to be corrected, though
this is quite interesting.... but then gfsonwin, unadhani unaweza kusema confidently kwamba tayari umeshamjua mr. completely (pamoja na mikwara na mizengwe yake) au unadhani process ya kumjua partner ni continuous katika maisha ya ndoa na kwamba bado uko kwenye 'learning curve' (e.g kuna maeneo...
dada gfsonwin hii issue ilikuwa inaonekana ndogo lakini mbona ili-explode out of proportion kiasi hicho? au mzee si mtu wa utani hata kidogo? kwa jinsi shughuli ilivyokuwa pevu, sidhani kama utakuwa tayari tena kumchezea simba shurubu...
sasa hujaelewa nini? yaani wewe unataka ukamgaragaze mtoto wa watu, halafu umpe shs elfu tano.... si utumie revola tu sasa kama unaona kutoa pesa anayohitaji utapata hasara
baada ya mahakama kutoa hukumu na CWT kutoa tamko kukubaliana na kila kitu including kulipa fidia kwa wanafunzi (iwapo serikali itataja kiasi cha fidia hiyo), ni ngumu sana kujua kama CWT walikuwa wanajua wanachokifanya au waliamua kutangaza mgomo kichwa kichwa bila kwanza ku-establish uhalali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.