Tuliosoma physics tunasema Lile sio goli, kutokana na principal za physics...kama mpira ungezama wote possibility ya mpira kurudi uwanjani bila kugusa nyavu ni 0%
Kinachofanyika ni kuichoma Ile hewa ya ndani Ili iwe nyepesi(iwe na density ndogo kuliko density ya hewa ya nje) Na matokeo yake Lile puto ndio linapaa
Nimekuelezea katika lugha nyepesi
Kama Bado mtafute dogo wa form 2 akupe darasa
Hivyo vichwa vinaandaliwa kuajiliwa tu...ukiviacha vijitegemee vyenyewe vinakufa
Ila sisi wa div 4 na 3 ndio tunalisha nchi
wap MO29, bakharesa, GSM......NIENDELEEEE
Nachojaribu kuzungumzia ni kwamba watu wa kozi hizo wana kazi ya kufanya ili watambulike na waajiri la sivyo watakaa na historia kwamba walipitia chuo na walisoma kozi fulani lakini hakuna watakachoapply kutokana na walichokisoma
Kwanza nianze na pole wale mliosoma Bsc PHYSICS, MATHEMATICS na BIOLOGY kwa ugumu wa kazi lakini pia niwaambie ukweli hizi kozi hazina hajira kabisa na kama zipo basi mara moja ndani ya miaka miwili.
Hapo mwanzo kozi hizi zilianzishwa kwa ajili ya kupunguza tatizo la walimu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.