Habari wamajambi na TCRA
Nimefuta namba 4 zilizosajiliwa kwa NIN yangu zaidi ya miezi 6 iliyopita ila ajabu ni kwamba bado hizo namba zipo kwenye orodha ya namba zangu nikiangalia kwenye orodha ya namba zilizosajiliwa kwa mitandao yote.
Pia nikiangalia kwa Mobile money (M pesa/tigo pesa) namba...
Umenena vyema. Ndoa sio matarumbeta wala vyeti, ndoa ni commitment. Ndio maana kwa mujibu wa sheria "Ndoa ni muunganiko wa hiyari kati ya mwanaume na mwanamke wenye lengo la kuishi kama mume na mke". Msingi wa ndoa ni makubaliano ya hiyari sio vyeti. Dada atulie alee mimba na familia yake...
JK alimwambia akaelewane na waasi kwa njia ya mazungumzo. PK hakulipenda kabisa neno hilo na ndio mwanzo wa ugomvi. Lakini pia usisahau jamaa wote wawili ni wanajeshi so inawezekana JK alishtukia hila za PK
Bhasi mkuu. Jaribu tu kuishi. Kuna mwamba kakuambia ukae na jamaa ujue vipaumbele vyake ili upate cha kuwajibu wazazi. Jaribu kuwa mguu ndani kwa sasa na sio nje ndani, pia epuka sana shauri za mashoga zako, zimewapoteza wengi.
Mbona watu wengi wameoa na kuolewa kwa style kama yako? Wewe acha kumpa jamaa pressure za ndoa na hapa wengi hutaka harusi (sherehe). Kuhusu security bado unaweza kuachika hata ukifunga ndoa na vyeti juu. Kwani huoni ndoa zilizofanyika tena kwa harusi kubwa kubwa zikivunjika kabla hata ya...
Bahati mbaya kuna watu walikuwa wanamdhihaki. Kuna wanaojuta sasa. Kuna mmoja Twitter nae aliandika ujumbe wa kukata tamaa na kweli alijiua. Depression is real. Mimi mtu akisema anataka kujiua siwezi kuchukulia mzaha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.