Hello mabibi na mabwana, natumai mko vyedi kabisa.
Ikiwa imebaki masaa machache tupindue mwaka napenda kushuru kama ifuatavyo kwa jinsi platform hii ilivokua msaada mkubwa sana kwangu.
Kipekee kabisa nianze kumshukuru mwenyezi Mungu kwa wingi na fadhila zake kwangu/kwetu.
Ashukuriwe zaidi kwa...
Hello dears,
Mwenzenu leo hii hali siielewi, sijisikii kuchangamka, kuongea, kula, wala kutoka outing! Yaani kifupi nipo nipo tu kama mtu aliyekosa sera.
Nyie wenzangu huwa mnafanyaje katika hali hii?
Saa za rado ni 65,000 ni Original
Pia saa za navigate jipatie kwa sh 60k
Bila kusahau mashuka mazuri kutoka Uganda size 7×6 7×8, unapata mashuka mawili na foronya zake4, material: cotton, kwa sh 55k tu
Chagua bidhaa uipendayo kati ya hizo kisha unichek kwa namba 0785434419 kwajili ya mzigo...
Niko tu mi baby
Kama maji kwa mtungi
Nyonga buli baby
Nivute niiishi nibaki kishungi
Aii zuri baby
Nibandike nigande ka gundi
Maakuli nilishe nishibe
Kitumbo ndindi
Unanikoleza, unanichombeza
Unanilegeza ai wee
Ukianzaga ndani unayaweza kitandani
Kwenye meza tsunami, jeneza ni wee
Nakupenda...
**MUME NA MKE JITAMBUENI ILI MUISHI KWA FURAHA**
#MUME
Mke wako si nguo, kwamba ikichakaa utanunua nyingine, Mke wako ni kitu chema toka kwa Mungu, huwezi kuweka mbadala wake, iwe fedha au awe mwanamke mwingine. Ni Mungu tu ndiye akupaye mke, hapatikani sokoni, wala dukani. Hapatikani hotelini...
Siku kama yaleo miaka mingi kidogo iliyopita wazazi,ndugu pamoja na jamaa zako walikua na furaha kukupokea kiumbe wewe na kukukaribisha kwa shamrashamra zote katika sayari hii dunia...
Umekua ni rafiki mwema na umekua msaada kwa rafikizo na jamii ikuzungukayo,sina pesa za kukuhonga ili furaha...
Somo hili sio langu ila nimeona vema kushare nanyi wanawake wa MMU,najua kila mtu angependa mahusiano yake yawe ya mfano bora wa kuigwa...
Naomba niwapestie kama ifuatavyo linalokufaa chukua ukaboreshe ndoa/mahusiano yako
VYAKULA VITANO MUHIMU KWA MMEO VITAKAVYOMFANYA AKUFANYE MALKIA WAKE...
Arusha wing tunasikitika kutangaza kifo cha mtoto wa member mwenzetu PakaJimmy kilichotokea leo hii kwa ajali ya basi la shule,ni kati ya wale wanafunzi wa Lucky Vincent...
Ni msiba mzito mno mno kwa mzazi yeyote kumpoteza mtoto hasa katika mazingira kama haya ya ghafla,unaagana na mwanao...
Miaka kadhaa nyuma trh kama yaleo dunia ilipata kiumbe kipya,wazazi pamoja na ndugu na jamaa walifurahi na kushangilia ujio wa kiumbe hiki...
Hatimae kikakua katika kimo na ufahamu mpaka hapo kilipo... Umekua ni chachu ktk familia na rafiki wa rika zote. Ashukuriwe Mungu aliekuumba na...
Kwa niaba ya Heaven Sent, wambeke nitumie fursa hii kutoa shukrani za dhati kwa support yenu mlioonyesha kwa msiba wa baba mzazi wa mwenzetu.
Imepatikana kiasi cha 350.000/=. Nimemtumia taslim 348.000/=
Kila mmoja kwa namna yoyote ile iwe kiushauri, pole na hata fedha bila kujali kiwango...
Ndugu wana Jf kama tulivojulishwa kuhusu msiba wa rafiki yetu Heaven Sent na kutokana na nia ya baadhi ya members kuomba tuweke namba kwajili ya rambirambi katika kumfariji mwenzetu tumeshaurina tukaona sio mbaya kuweka namba hiyo kwajili ya kumsapot mwenzetu....
Binafsi nimeongea na mfiwa...
*A teacher was teaching words and their opposite then he told Mutabazi to stand up and give answers !*
Teacher: What is the opposite of good
Mutabazi : Bad
Teacher: Come
Mutabazi : Go!
Teacher: Ugly
Mutabazi : Sexy
Teacher: You are wrong
Mutabazi : You are right
Teacher...
HAYA NDIO MADHARA YA KULALA KANISANI
Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule dada akasimama akashangaaa kanisa zima linamtizima kwa mshangao akiwemo mumewe, akaangalia kanisa zima akashtuka kujiona yeye peke yake ndiye aliesimama
Pastor akaendelea...
Njiwa
Njiwa peleka salamu
Oo kwa yule wangu muhimu
Mueleze afahamu
Kwamba ninapata taabu
Hali yangu mahamumu
Oo maradhi yameni siibu
Chorus
Eewe njiwa x2
Peleka salamu
Kwa yule x2
Wangu muhimu
Usiku kucha nakesha
Oo na yeye ndiye sababu
Ewapo haji maisha
Itamfika aibu
Pendo langu halijesha
Oo...
SIKUBALI KUUMIA PEKE YANGU, BORA
MBAVU ZITUUME Mnyakyusa mmoja
aliwaalika watu katika mazishi ya mama
yake. Baada ya kushusha jeneza wakatia
ndani ya kaburi viazi, mchele na kuku
kadhaa. Mhaya mmoja akauliza, 'Vya nini
hivyo?
Akaambiwa, 'Wafu huenda safari ndefu
sana, hivi atakula njiani
Mhaya...
Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha za kutunisha Mfuko wa Jumuiya...sasa unakakaa mbele kabisa ili Muda wa Msosi usichelewe na kukuta kwenye Buffee yamebaki maharage!
MC : "Papai zuri kabisa kutoka Newala, Papai Mwendokasi, hili ni...
On this special day, i wish you all the very best, all the joy you can ever have and may you be blessed abundantly today, tomorrow and the days to come! May you have a fantastic birthday and many more to come...
HAPPY BIRTHDAY toto zuri,nakuja kukumwagia maji baridi
Sheikh alikodi bodaboda, wakat wapo safarini akamwambia dereva
Zima muziki
dini hainiruhusu kuskiliza nymbo za kidunia
Kwa sababu wakati wa mtume hakukuwa na redio
Dereva akatii akazima... halafu akasimamisha bodaboda na kusimama pembeni
Shekh akamuuliza Dereva "Nin tena!?"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.