Search results

  1. J

    Tz. Leadership succession plan .nyerere's failure

    Wote hao niwanafiki tu,kama wako serious watoke CCM waanzishe chama chao,wakishndwa wakae kimya wasubili kuunga hoja mia kwa mia.
  2. J

    Fikra za Mwalimu: Hizi hapa.. mzikubali au mzipinge!

    duuuuuuuuuuuuuuuuuu
  3. J

    Fikra za Mwalimu: Hizi hapa.. mzikubali au mzipinge!

    Hey just compare the advantages and disadvantages of both capitalists and ujamaa then think twice.
  4. J

    Fikra za Mwalimu: Hizi hapa.. mzikubali au mzipinge!

    Nyerere he was a great thinker jaman,tukubali au tukatae,ukiangalia hata katika malengo ya MDG ye aliyasema hayo toka enzi za miaka ya sitin,ila kwa vile si ni vichwa ngum tukapuuzia,leo IMF na WORLD BANK ndo tunawaona ka wakombozi kumbe ni bule si lolote. Ideas zake zitaishi milele.
  5. J

    Maamuzi ya NEC ya CCM na Hatima ya Spika Sitta

    Hii nchi mpaka tupigane ndo tutaheshimiana, hawa wote wanatwanga maji kwenye kinu tu wataongea saaaana mwisho wa siku hakuna utelekezaji,toka wameanza kuongea we unaona nini kimebadilika?"The only thing neccessary for the trumph of evil is for good men to do nothing" EDMUND BURKE
  6. J

    Rais kumzawadia mtoto pipi alikuwa na maana gani?

    Hata akae mbele nani atakae mzuru? Wanajua wanaongoza majuha.
  7. J

    Tra na usanii wa aptitude test

    Tehe tehe yani we ulikua hujui tu katika nchi hii kila kitu kinapelekwa ki saniii?
Back
Top Bottom