Habar wadau JF naomba kuuliza ni wap hapa Dsm nitapata Generator za 6kva au 5kva iwe Aurora,honda king max au kapor ay zozote kutoka japan na india(Diesel) kwa bei nzur(cheap kidgo)
Salamu wanaJF .
Kwa mwenye kufahamu vifaa muhimu na taratibu za kufungua kituo cha afya au dispensary(zahanat) naomba anipe utaratibu na gharama zake za vifaa
Ahasante
Fanyeni utafit kuhusu hilo msiongee tu jambo ambalo hamjafanya utafiti kwa kina .. Umetaja sheria hapo juu je umewahi kuuliza mamlaka husika kuhusu hilo.. Je, umewahi kuthibitisha kwamba hizo kampuni hazina kibali cha kufanya hvyo au kuangalia kampuni hzo katika usajili wake hzo huduma za pesa...
Vifaa vya radio kwa gharama hyo ni kutoka wap kaka na je vinaweza kuhumili radio ya wilaya i meant fm radio ....maana niliskia kuna vifaa adi milion 5 lakin haviwez kua kwenye ushindani hata wa kiwilaya ...nasubir ushaur wako
Heshima kwenu wadau jaman naomba msaada kujua hii kitu podcast studio inafanya kaz kwa style zip na mtu anawezaje kutengeneza pesa ktk hii podcast... Ahsante sana
Ukikua utaacha hiv ww unaenza degree umetoka form six na anaenza degree alietoka diploma na form 4 yake Nan walau ana idea ya hyo degree... Afu mwenzio unawezakuta baadhi ya masomo hasomi mwaka kwanza... Alishoma akiwa diploma..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.