Hivi timu ya mpira kama simba nazingezo ambazo hazikuchukuwa ubingwa haziruhusiwi kufanya mazoezi na maandalizi ya msimu ujao hadi mashinado yaanze?? Siasa ni ushindani unaposhindwa unaanza maandalizi ya uchaguzi ujao. Kuzuia vyama vya Siasa kufanya siasa huo ni uoga wa yule aliyeko madarakani...
Ndugai Job Yustino kazaliwa 21/1/1960.
Kamala Diodorus Buberwa kazaliwa 2/111968. Hizo taarifa ulizotupa haziko sahihi, ni wengi tu ambao umeonyesha miaka si yao.
Muleta Mada wewe ndiye unapotosha watu unasema mkataba wa Richmond ulisainiwa na Lowasa!! Huo ni uongo. Tafuta ukweli ujuwe ni nani alisaini huo mkataba.
Pango la wezi na mafisadi ni ccm,huko ndiko kuna chuo cha ufisadi. Mafisadi wanatabia ya kumchukia yule anayeamua kuuacha ufisadi na kujiunga na watu wema.Lowasa ni mwiba mkali kwa ccm kwasababu atawaumbuwa ufisadi wenu. CCM inatakiwa kwanza imshukru Lowasa kwa kuinusuru kutopoteza serkali 2008...
Wewe msomi, mbona haujauliza vyanzo vya million 50 kila kijiji na kompyuta kwa kila mwalimu zitatoka wapi!!Huo ulikuwa ni mkutano wa kuandika vipumbele vya ilani yao,haki kuwa kikao cha bajeti ili kuchanganuwa vya mapato na matumizi. Elimu ya kugharamikiwa na serkali, Inawezekana na ilishawahi...
Jamani naomba mziangalie hizo Ref.CBD88/286/01 na CDB286/397/01 hapo utapata kujuwa kama kweli hizi ni halali au kuna mchezo tunachezewa.a
Angalia mpangilio wa hizo herufi CBD naCDB.
J Amani mbona tunahangaika sana kujuwa kwanini Dr.Slaa haonekani kwenye hafla ya Lowasa,lakini mbona hatushituki kwanini Kinana hajaonekana kwenye hafla za kumtambulisha Magufuli???
Mimi sioni kama kuna tatizo kwa viongozi wa kiroho kuwa viongozi wa nchi,hawa ni binadamu kama sisi hawana hadhi ya uungu wowote,hivyo kama wanazo sifa ya kutuongoza tuwape.Mifano miwili ya viongozi wa kiroho waliowahi kutawala nchi zao.1.Archbishop Makarios wa Cyprus 1959 hadi 1977 alipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.