Tuwe na akili huru pale tunapotoa maoni yetu...Hive ni kweli CUF imekuwa CCM B leo????? Dont we remember yalotokea 2001, baada ya kuibwa kwa makusudi ushindi wa CUF? watu wakauwawa?? wakimbizi shimoni mombasa??...Yanayotokea leo znz ni matunda ya busara za kuponya maumivu kwa wazanzibari...na...
Mkuu naomba jamani sote tuwe wakweli tu kwamba hivyo vitu nilivyowekea nyekundu vinahusiana....bila ya elimu hiyo analysis lazima itakuwa limited. kama mtu haweza ku read between the lines hawezi kuwa analyst mzuri. Elimu ni msingi wa kila kitu...tusiubariki ujinga eti tuna talents....watakuwa...
Mkuu naomba jamani sote tuwe wakweli tu kwamba hivyo vitu nilivyowekea nyekundu vinahusiana....bila ya elimu hiyo analysis lazima itakuwa limited. kama mtu haweza ku read between the lines hawezi kuwa analyst mzuri. Elimu ni msingi wa kila kitu...tusiubariki ujinga eti tuna talents....watakuwa...
You are more than right!!! kavamiwa na kuibiwa Mh. Joel Bendera...mbona tulimuonea huruma kama binadamu, mzazi na mwananchi. Unajua haya mambo ya kutazamana kwa dini zetu iko siku PATACHIMBIKA hapa TZ.
Jamani ngoja nimtetee huyu mtu...yeye si shetani hata kidogo...tunapomwita shetani tunamnyima fursa ya kutoa maoni yake...he is entitled to his opinions...hivi ndivo anavoona yeye, njia ya kuondoa udini ni wakiriso wote wamchague mkiristo mwenzake popote alipo. hivi ndivo walivo wakiristo wengi...
kwa muda wa miaka mingi waislamu walikuwa wakilalamikia udini...kuwa wakiristo ndo wanapendelewa kuliko waislamu...lwo ukiona wakiristo wanalalamika ujue kuna jambo. rejea makala ya Rweyemamu kabla hajakuwa mnukulu. Jamani siku zote waislamu walikuwa na wamekuwa wakiuweka mbele utaifa kuliko...
katika segment ninayoipenda ni hii ya bepari la kihaya...yaani bora wasioneshe kitu ila hiyo...kwetu sisi ni sifa kwanza ndo whaya wamesoma sana nchii hii hasa kule kanyigo. pia ukiwa muhaya umesoma kisha una mihela kama bepari mpoki...huku unaongea kile kizungu cha kihaya penye R unaichanganya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.