Hi guys hope all is well!
Natafta msichana ambaye badaye atakuja kuwa mke halali wa ndoa.
Sifa zangu nna fanya kazi mwajiriwa lakini pia nimejiajiri,
Elimu yangu; Masters,
Umri wangu 35 na above,
Nahitaji msichana mwenye sifa zifuatazo:
Age sio zaidi ya 35 lakini awe matured,
Rangi ya asili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.