endelea kuamini hivyo kinadharia zaidi kuliko hali halisi iliyopo kwenye ground tena ukiwa nyuma ya keyboard na id fake ni rahisi sana, watawala hawatishwi hata siku moja na hizo nadharia na tena wangependa iwe hivyo
ila ukweli ni kwamba hiyo kamata kamata unayoiita wewe ni ujinga ndio...
cdm kufa ilisha tabiliwa kufa toka mnaanzidha ACT ukweli yamekushinda ACT sasa umekaa mbali umewaachia mfupa wenzako unajifanya mshauri
wewe huwezi kamatwa na tena hutakuja kamatwa kama utaendelea kuongea vitu rahisi kama hivyo, watawala hawatakuja kaa watishwe na huo ushauri mwepesi
wenzako...
alifyata mkia, njaa mbaya, utapiganaje na alieshika mpini wakati wewe umeshika makali, utakuwa fala sana mtu kama wewe lemuz mtu wa madili mtu wa totoz ukae mbali na mkondo wa maji
mkuu kwani unafikiri this time magufuri alishindwa kutoa tamko la kumuunga rafiki yake kama yeye, position yake ndio imemzuia, the same to odinga alikuwa ni kiongozi wa odm kwa positiom yake kumuunga mkono wakati ule ni sawa na msimamo wa chama hauhihaji hata kikao kimoja
Sent using Jamii...
naamini jibu sahihi ni hili hapa, ila mkuu swalo nyongeza kuna hoja humu kuwa bendera za jeshi hipandishwa jioni nankushushwa asubuhi, unaweza fahamu kwani inakuwa hivyo
umeacha kujibu hoja, unajibu vioja, umeambiwa chama sio mama yako, ukikichoka unakiacha, huwezi acha kufanya siasa kisa eti unaogopa kuna siku watakufukuza, empty kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.