Brother umepata wapi huo ujasiri wa kuona viongozi wa dini kutokushirikishwa ni jambo la maana sana nenda kacheki Baraza la maaskofu wa kkkt na Roma angalia PhD ziko ngapi huko ndani changuza ni ngapi za kupewa,ni ngapi zimetokana na masomo ya dini brother kutokuwashirikisha viongozi wa dini...
Naam, mbwa hao wana choyo sana, hawashibi kamwe; na hao ni wachungaji wasioweza kufahamu neno; wote pia wamegeuka upande, wazifuate njia zao wenyewe, kila mmoja kwa faida yake, toka pande zote.
Mimi ni kijana Mtanzania ni dereva na fundi mechanical elimu yangu ni darasa LA saba, nina uzoefu wa kutosha kwenye udereva na ufundi nimesoma chuo cha usafirishaji NIT udereva na chuo cha ufundi VETA
Niko tayari kufanya kazi popote Tanzania madaraja niliyonayo ni A, A1, B, C, C1, C2, C3, D na...
Mimi ni dereva na fundi makanika leseni yangu ni class c kavu nimesoma NIT nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote Tanzania kwa yeyote anayeitaji dereva namba zangu ni 0784 619897
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninakubaliana wewe kwa 100%ukweli ni kwamba Mzee Lowasa alipotea njia kwenda upinzani yeye mwenyewe ninaamini alikuwa anajua hawezi kuwa rais kwenye hii nchi hata kama angepingiwa kura na wananchi wote kwenye hili taifa kura huwa aziamui ni nani atawale hili taifa na yeye anajua,binafsi...
Kichaga mahari ni ndoka kabsa wakitaka urudi kwenu inabidi mrudishe mahari kwanza na kwa wachaga kama kweli utaondoka ujue hawatakufuata tena
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.