Story yako inahuzunisha ila pia inamafundisho sana.Ila kilichokuja kukuangusha ni mahusiano(wanawake).Pole sana.
Wewe ni mpambanaji sanaaa.
Ushauri wangu uko ulikohamia angalia fursa ya biashara ya fani yako,Kwa sababu kupitia story yako unaifanya vizuri sana,deal with your passion.Kikubwa...
Ni kozi nzuri tu,kwa experience kidogo niliyonayo unaweza kuajiriwa au kujiajiri(Tanesco,Idara ya Maji,Manispaa,TFS,TRA,NBS) na bado ni wachache.Wengi waliopo wana masters na short course.Kila lenye heri.
Habari wana Jamii forum Mafuta halisi ya parachichi yanapatikana kwetu.
Yanasaidia kuondoa miwasho mwilini na kwenye nywele
Yanatibu vidonda
Yanafifisha michirizi
Yanakukinga usiungue na mionzi ya jua(ukipaka hausikii kama jua linakuchoma)
Bidhaaa asili ya kitanzania
Bei zetu ni hizo
Mls...
Hallow poleni na hekahek za pasaka.
Ipo miti ya mbaoa aina ya pines inauzwa ipo Mafinga Iringa ina umri wa miaka 9 na zpp ekari 13 asanteni.Aliye penda naomba tuonane PM
Dada mnyonyeshe tu mtoto mpaka mimba itakapofikisha miezi saba na Baada ya hapo anza kumpa lishe nzuri yenye virutubisho mpende sana mwanao muweke karibu.
Mtoto ni Neema amini Mungu amemleta sasa iko sababu usichanganyikiwe hata jitie nguvu jitie Moyo utavuka na utawafurahia wanao.
Na ieleweke hivi mtu mmoja mmoja anapimiwa na inaruhusiwa kabisa ila sasa kupima mtu mmoja ni gharama kubwaa wapimaji wengi ushaauri wengi kwa sababu mnazishare hizo gharama na hivo mzigo unakua umepungua
Hakuna mkurugenzi sasa wanafanyaje kazi?Anyway hiyo ni too risk inainvolve pesa za watu.Haya mambo huwa lazima viakao vipite na kuwe na mihutasari ndio upimaji na urasimishaji makazi vinaruhusiwa na vinakuwa salaama zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.