Nimecheka sana baada ya kukumbuka tukiwa Migodini Geita namna ambavyo Engineer mmoja alivyokua akiwapigia magoti watu wa HR kuhusiana na kibarua chake na tukiwa O-level alikua mkali sana wa Physics wanaume waliokuabwanasoma Arts alikua anawaita dume jike..[emoji16] [emoji16]
Sent using Jamii...
Nyumba Nyeupe ingekua haihusiki naamini IGP leo hii angekua amefukuzwa kazi, kwasababu zifuatazo.
1.Kwakua Walinzi ni Polisi na huwa wanafanya kazi kwa maelekezo, nani alitoa maelekezo walinzi waondoke siku ya shambulio?
2.Nani kang'oa CCTV Cameras kwenye nyumba za viongozi?
3.Kwanini...
Juzi nilikua na Muwakilishi wangu Bungeni. Atazungumzia hii hujuma inayofanyika kwa kada ya uhasibu, maeneo ambayo atayagusia ni pamoja na 1.Ule waraka uliokua umeandaliwa katika kipindi cha Kikwete kuhusiana na kuondoa vikwazo visivyokua na sababu za msingi vilivyokua vimewekwa kwa...
Umenikumbusha uharibifu uliofanywa na kiongozi mmoja katika Bustani za kiongozi wa upinzani anayotofautiana misimamo ya kisiasa na mfalme, bustani zilikua zimeajiri watu kibao. Kiongozi huyo baada ya kufanya ukatiri huo nasikia Mfalme alifurahishwa sana na kitendo hicho akaamua kumpandisha cheo...
Nadhani kuna mtu alitaka kuiga mambo ya Rwanda lakini akashauriwa kwamba atachemsha na kudharauliwa sana akianza vitabia vya kujifanya yeye ni bora kuliko viongozi wote waliomtangulia, ilihali ni mtu wa kawaida sana
Natamani kumuona usoni huyo anayeongea, sijui sura yake imekaa kaaje maana siku zote ukiwa unaongea kitu tofauti na moyo wako unavyoamini kunakua na vikunyanzi au vidimpo flani mashavuni hata kama ungekua mwanaume wa shoka kiasi gani. Huyu jamaa aliachaga kazi Sasa anapambana namna ya kutoka...
Inategemea hilo goli umelitafutaje, kuna wale wanaopiga bao wakiwa kwenye mwendo kasi au bao la ndotoni sidhani kama nao hawa hawastahili kufanya Mazoezi kwasababu wamepiga goli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.