Ni siku mpya. Ilete baraka na mabadiliko chanya, Ona na visualize ukifakiwa, (Sema Amen).
Niwape kisa kimoja, kiwe funzo na chachu ya kujiongeza next time, maana watu tunakurupuka na hizi silaha zetu tulizo nazo.
Jana nilikuwa ktk daladala moja naelekea Karume. Konda na dereva wake, wote...
Habari.
Kama unajua kilimo cha mboga mboga na unajua fursa jinsi ya kupata masoko n.k ila umekwama nyenzo ,sehemu ya kupigia kazi hiii ni yako.
Nahitaji mtu anayejua kilimo, kulimia mboga, kutafuta masoko, mtu anayejituma mpiga kazi sio wa kusukumwa.
Nina eneo , chanika,yapata 3/4 heka, maji...
Wasalamu, watabibu.
Naomba kujuzwa haki ya mgonjwa na wajibu wa mtoa huduma. Hili jambo limetokea mara kadhaa ktk dispensary moja hivi na inaonekana ndio utaratibu wao, naomba mamlaka wenye kujua zaidi wanielemishe.
Ukienda kutibiwa mgonjwa ana nyimwa precription, yaani baada ya kupokea majibu...
Wasalam Waungwana.
Tanzania kuna vichwa haswaaa kuna wajuzi wa mambo kada wa kada, lakini kinacho fanya tusiruke zaidi ni kila mtu kujificha kando na ujuzi wake,kile anacho kijua. Hatupeana challenges za kufanya utundu ubunifu ukue zaidi, Sijui why?
Lakini leo nimetaka tufahamiane, tujuane...
Hello wajuzi.
Ulimwengu wa Technology unamkimbia kwa kasi sana. Kwa kuanzia sekta za kibiashara, Siasa, hadi Technology. Kwa sasa utendaji unafanywa sana na Artificial Intelligence, hardware na codes zinaungana kutoa mwitikio na utendaji Unaofikiriwa na mtaalam husika.
Hii field na hizi skills...
Wasalaam.
Najiuliza hivi hii mitandao ya simu inatuonaje? Wanapandisha vifurushi ovyo ovyo bila notification, lakini kutumia meseji zao za matangazo hadi usiku wa manane hawashindwi. Hawa jamaa wanakera mno.
Nimewapigia wananambia miongoni mwa SP, watoa huduma wanasema Huduma inatolewa...
Habari wakuu, nataka badilisha simu kwa sasa. Nataka simu Android, yenye camera kali, ram ya kubwa nzuri na storage ya kutosha. Simu gani yanifaaaaa?
Isiwe tecno, huawei au infix. Ushauri. Wazee
Mrejesho , nimepita kwa wakala flan nikashawishika kununua OPPO, RAM GB8, STORAGE 128GB, Camera...
Wasalaaam. Ukijua ulikotokea unaweza husianisha ulipo na kupanga unapoenda, ili ujue unapiga hatua au unazunguka tu.
Tangu zaman na hata sas, kuna desturi ya binadamu kufanya ushirika na roho au viumbe walio wazidi maarifa ,nguvu, ustadi ili kufaidika au kuweza kupata nguvu ya kutawala...
Muda mchache, nimelushiwa video clip, ya dada mmoja akiwa ana mwagika damu nyingi sana, yaonyesha alikuwa amekatwa na kitu kama kisu shingoni, na uhai umetoweshwa. Katika kujiukiza, hii kitu sio editing ni real kabisa, nini kimemsibu, na mazingirs haya kuonyesha kama tukio la mwizi labda wajumbe...
Nimekutana na taarifa ya Michele Obama, na tatizo la Sonona.
Hii Chini ni taarifa hiyo.
"Ninaamka usiku wa manane kwasababu nina wasiwasi juu ya kitu fulani au nawaza kuhusu mzigo mzito ninaoubeba moyoni." Mke wa Rais Mstaafu wa Marekani Barack Obama bi Michelle amekiri kuwa anaugua sonona...
Hawa wadada wanakosa kujiamini tu, ila wakiwa bila make up, wanapendeza zaidi. Wengine hawajiamin wana fake sana.
Vipi, wew wapenda ma make up? Wewe mdada unaweza toka out bila make up?
dondosha picha za hawa walio bila make up
Wasalaam wanajamvi.
Katika pita pita za hapa na pale, katka kusaka maarifa, kuna kitu nikakutana nacho.
Kuna jinsi ya uchumaji fedha kichawi. Kuna dawa huandaliwa kisha mchawi huyu huchanganya na damu yake mwenyewe.
Baada ya siku chache mchanganyiko wa ile dawa na damu, huoza na kutengeneza...
Habari wana jamvi,
Natumai tu wazima na tunaendelea na majukumu mbali mbali. Tupo hapa kujuzana, kukumbushan, na kutilia mkazo kwa yale machache kama sio mengi kadri MUNGU atavyoona yafaaa na nafsi zetu zikishiriki. Kabla sijaenda katika mada ya leo tukumbushane baadhi ya nyuzi kidgo tulizo...
Kuna simu ya android Kitkat android version 4.4.2
Nahitaji ku upgrade kwenda kwenye better version.
Nahitaji kuwa na nin?
Madhara au faida nitayo ipata baada ya ku upgrade,
MSAADA TAFADHARI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.