kwa wale ambao hamjaoa, mtahangaika enz ya uchumba kutafuta kiwanja na process nzima mpaka nyumba kuisha then mtasema kweli uhusiano wetu ni wa maana tuoane sasa, mkishaoana tu ile nyumba utaambiwa si yenu tena ila ya kwake mwanamke na atakuambia ukitaka tuachane hata sasa hivi!,number 2 hata...
aisee ni kweli hata mimi nimekua najiuliza kwa hapa ofisin , kwa nini kila nikiweka maji moto maziwa haya hayayeyuki yote , na hata taste ni tofauti kdg haya ya ofisini ni kopo kubwa kabisa, wakati yale ya nyumbani ninayotumia kopo dogo yana taste tofauti kabisa, na si kwa maziwa tu kuna bidhaa...
kuna jamaa wakawa wanakula chabo sasa njemba ikawa inakula jicho kama kama dk 10 hivi ghafla akachomoa then akampa bibie ale koni , yule mpiga chabo akapiga kelele wewe acha imetoka ny.... hiyo
wakati jana nilisimuliwa kisa cha mgogoro wa mpaka uliosogezwa na aga khan schools kuingia upande wa zanaki secondary, yule mama mwl mkuu alitokwa na machozi kwamba watoto au wajukuu wetu watakosa pa kusomea huko baadae , manispaa, wilaya inajua lakini hamna kitu naomba wahusika wafuatilie ile...
mwangoka: wewe umekuja hapa kama wewe na wewe kama wewe ndio utaondoka hapa kama wewe.
2nd master kaaya: eeenh kuna typhoid kama siku yako imefika utakufa tu ndio k.............. zenu nyamazeni msikilize
ngui: mkuu mkuu (to mgohamwende) wamegoma mkuu
ngu 2: to makongoro and lumumba...
wewe rufiji ulikuwa lumumba east kule nyuma sikumbuki vyumba vile viliitwaje ila kulikuwa kwa majina ya vyumba katika mabweni ni boiler,upper wing,lower wing,leeward,then kuna ka chumba kalikuwa kanaitwa trench town alikuwa anakaa mnoko mmoja anaitwa kyande
nasikia yuko uk for masters,joel...
nauliza wana jf kuna makaburi yako mkabala na international school of tanganyika upanga nadhan primary ni barabarani yanatazamana na mjengo mpya mrefu , kwa sasa naona kuna kama pamezungushiwa uzio hivi , je ni makaburi ya watu gani? na pashauzwa nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.