Nimetafakari sana tukio la mwanafunzi wa elimu ya juu kupigwa risasi na kuuwawa kwa bahati mbaya wakati wa kuzuia maandamano ya wafuasi wa chadema jana kinondoni naona kuna haja sasa ya wabunge wetu tuliowachagua kwenye uchaguzi mkuu uliopita kupeleka mswada bungeni wa mabadiliko ya sheria ya...
Huyu kijana alikuwa anaomba barabarani kwenye foleni za magari. Alipolisogelea gari la huyo mama ili kuomba msaada akakuta anayemuomba anamatatizo makubwa kuliko yeye huyo mama anapumulia mashine ya oxygen kijana alilia sana na kujiona kumbe yeye anahali nzuri sana. Eeehh Mungu wangu nashukuru...
Kugeuzwa baba mzazi kuhudumia mwanamke ndipo niliposhidwa nikakaa pembeni kwa sasa nimempata mwanamke mwenye kazi yake hana usumbufu wowote tena hata mkitoka wakati mwingine unataka kulipa bill analazimisha alipe yeye. Lo hawa ndio wanawake wazuri sio mwanamke anakuomba hela ya pedi,mara...
Msaada kwa mwenye ramani soft copy au picha ya ghorofa moja ambayo chini ni frem za maduka na juu ni matumizi mengine anitumie kwenye email yangu lyatuujudicate84@gmail.com.
Kwa niaba ya kampuni yangu Lyatuu Company Limited inayohusika na uagizaji wa magari nje ya nchi,uuzaji wa magari ndani na nje ya nchi na ununuaji wa magari ndani na nje ya nchi tunapenda kuwatakia wateja wetu wote heri ya christimas na mwaka mpya. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu mliotupatia kwa...
Aisee sinza kijiweni kituo cha Puma yaani ni waizi sana nimejaza mafuta ya 30 elfu kwenye harrier yangu bado taa ya kuonesha mafuta hamna inawaka yaani nilibishana nao sana wakaniambia harrier inatank kubwa niliondoka ila roho iliniuma sana kesho yake nikaenda mlimani city sheli iliyoko kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.