Search results

  1. Horseshoe Arch

    Hata bwawa likikamilika mgao utabaki pale pale. Tusijifariji

    Tatizo la ukosefu ama tuite nishati dhoofu hapa nchini si la kisera bali la kisela..yes, haiweekani jambo serious lichukuliwe ki comedian. Sitashangaa kesho tukisikia uteuzi wa kaimu- makamu wa naibu waziri ambaye atakuwa superintendent wa mito na mabwawa.
  2. Horseshoe Arch

    Hata bwawa likikamilika mgao utabaki pale pale. Tusijifariji

    Usijali serikali yetu sikivu itaanzisha wizara maalum itakayohusika na ukusanyaji maji kutoka vyanzo mbali mbali vya ndani na nje ya nchi.
  3. Horseshoe Arch

    Hichi kidude nimekikuta chooni sijui matumizi yake

    Wengine hutumia magazijuto kuelekea mechi ambayo fundi hakuweka vizuri pima maji mengi yalikua yakipita juu ya vidonda vya tumbo mbuzi yule hakula majani jeshini baada ya bei ya nondo kupanda mwalimu akashauri tutumie daftari la mistari midogo ili kukabiliana na utelezi wakati wa kuotesha nyaya...
  4. Horseshoe Arch

    Ni nani alimuua Marilyn Monroe?

    Nini unachokijua?
  5. Horseshoe Arch

    Mabadiliko makubwa ya Sheria za jinai nchini

    Nadhani siku ya ufufuo akirudi atafanya mabadiliko makubwa!
  6. Horseshoe Arch

    SoC 2021 Ushauri kwa waliomaliza Kidato cha 6 (baada ya matokeo): Nini cha kusomea Chuo Kikuu Kupambana na Soko la Ajira

    Kusoma chuo kikuu ni msingi bora wa ajira? Acha kufananisha ajira na vitu vya ajabu ajabu! Ni wahitimu wangapi wapo mtaani na vyeti vyao mikononi?
  7. Horseshoe Arch

    SoC 2021 Ushauri kwa waliomaliza Kidato cha 6 (baada ya matokeo): Nini cha kusomea Chuo Kikuu Kupambana na Soko la Ajira

    Kwa kua wanasiasa ndo wamekua waamuzi wa kila kitu dhidi ya wananchi basi nawashauri wote waliohitimu kidato cha sita wachukue mchepuo wa Sayansi ya Siasa na uongozi wa uma kwa miaka mitatu tu kisha waingie bungeni walau kwa miaka miwili kisha miaka mitano ijayo waje hapa kutoa shukrani!
  8. Horseshoe Arch

    Sakata la kutoridhika na utendaji wa serikali

    Kama niwazavyo ni sahihi basi tuwe na roho ya kiungwana kabisa kukubali hata kuichangia serikali nusu ya kila tulicho nacho kwa kuwa tulikubali bila shuruti kubatizwa kuwa wanyonge. Tuauige mfano wa enzi za utawala wa ki chief ambapo wananchi walikuwa wanaporwa kila kitu in the name of royal family.
  9. Horseshoe Arch

    Sakata la kutoridhika na utendaji wa serikali

    Bado sasa tutakatwa tozo kwenye ndoa,kisha tozo kwenye imani na mwisho kabisa tozo ya ongezeko wa thamani kwenye uhai, kila mwananchi alipe 10% ya ongezeko wa umri na akishindwa kulipa sheria kali za wanasiasa zichukue mkondo wake.
  10. Horseshoe Arch

    Mpaka sasa Baada ya hizi nauli mpya na Tozo tunasemaje kuhusu Mama?

    Wamekanusha ongezeko la nauli, kupanda kwa bei ya mafuta ama wamekana ongezeko la kodi kwenye miamala ya fedha?
  11. Horseshoe Arch

    Rais Omary al Bashir wa Sudan alipinduliwa kwa ongezeko la bei ya mkate, Watanzania tunachekelea Serikali kuongeza kodi lukuki

    Tanzania kabla ya kuchagua wanasiasa wananchi wana nguvu na thamani sana ila baada ya kuchagua wanasiasa wana nguvu maradufu ya kupanga hata hatma za wananchi. Huu ni upuuzi ambao wenye akili wasipoukemea kwa busara itafika wakati wasio na akili watatumia ujamaa wao kuangamiza taifa. It is a...
  12. Horseshoe Arch

    SoC 2021 Kitendawili cha Katiba ya Wananchi - Tanzania

    Hakuna lisilowezekana chini ya jua kama wanasiasa wangeacha ubinafsi pembeni na kutanguliza maslahi mapana ya nchi mbele. Ifahamike kwamba watawala watakuja na kupita ila taifa litabaki! Katiba mama wa sheria zote duniani na mlezi mzuri ni lazima awe na familia bora!
  13. Horseshoe Arch

    Ni sehemu gani Dar affordable kuanzisha maisha ukiwa na familia yako?

    Swali lako ni mtambuka kwa kuwa kuishi maisha affordable kuna factor nnyingi za msingi kuangalia. Mathalani unaweza kupata nyumba ya bei rahisi kupanga ila gharama za maisha kwa maana ya nauli na mahitaji mengine ya muhimu ikawa juu. Kwa mantiki hiyo ni lazima tufahamu aina ya shughuli zako ili...
  14. Horseshoe Arch

    Ijue historia ya soko kuu la Kariakoo

    Mshana Jr nasubiri uje na historia ya zimamoto na majanga kwenye masoko!
  15. Horseshoe Arch

    Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

    Wanawake wanapendaga vitu vya ajabu ajabu ndo maana hata muundo wa viatu vyao na mawigi hauna pima maji!
  16. Horseshoe Arch

    Kwa kipekee kabisa naipongeza Serikali kwa kuanzisha kodi ya kizalendo kwenye miamala ya simu. Naomba Watanzania tuiunge mkono

    Uzalendo upi wa wanasiasa kuibia wananchi kwa nguvu kisha kutakatisha walichoiba kwa kulipana posho?
  17. Horseshoe Arch

    Am I wrong if I process divorce?

    Ndoa ni kukaa pamoja na kutatua matatizo ambayo msingekuwa nayo kama msingeoana...Uamuzi ni mmoja tu hapa,ama kumpenda mwenzi wako kama alivyo ama usubiri akuue kisha tukupe ushauri.
  18. Horseshoe Arch

    Serikali ianzishe somo la ujasiriamali shuleni

    Ujasiriamali haulipi zifutwe taaluma zote libakie somo la siasa tu wote tuwe Wabunge tuitafune nchi kama kina Kange Lugola!
  19. Horseshoe Arch

    #COVID19 Rais Samia hili la Covid-19 bado unatuchanganya kidogo, au ungeachana nalo tu?

    Vitabu vya dini vinatuasa tusijihusishe kwenye vitendo vya kuzini kabla ya ndoa wakati huo huo tunawekewa viuongo vya ndoa kabla...so hapa nashauri akili za kuambiwa uchanganye na za kwako.
Back
Top Bottom