Ipo mkuu tena vijana wake wako wengi mtaani wanaeneza habari za kanisa hilo wengi ni wazungu na mataifa mengine ya kiafrica wanavaa mashirt meupe na suruali nyeusi wapo Morroco
Hivi mkuu kwanini mko hivi kwanini mnashindwa kumuogopa Mungu kwani huyo mtoto ameamua kujizaaa tuwe accountable kwa matendo yetu wenyewe hata kama ni magumu au mepesi nyie wanaume ndo wenye story kibao za kusema baba kawatelekeza.
Kwahiyo kama hufanyi kazi hupaswi kuuliza,kwa sababu hatupo kwenye afya hatuoni mabaya yakitendeka,Watanzania tunapenda sana kutetea vitu kama huyo kakosea awajibishwe sio lazima afutwe kazi kuna njia nyingi sana na awe accountable na kile afanyacho and by the way course ya afya ni muhimu kama...
Mkuu pole yani ukiwa na kazi na unaona unaipenda na unaitaka ulitakiwa upeleke taarifa kwa vithibitisho toka hospital either ufike pale mwenyewe kwa namna yoyote ile au mwenza wako aifikishe hapo ungeendelea kupata matibabu.
Sasa kosa lishafanyika cha kufanya kama una docs za hospital kata rufaa...
Ila kuna watu mna maneno yanakera na kuumiza sana jee angekuwa nduguyo na huyo dada jee angekuwa kma unavyosema angeomba hela kwa wazazi? Hebu tuweni na stara.
Dadaa omba yasikukute mimba yaja tofauti tofautiani na sikatai kwamba hamna wanaodeka ila omba upate mimba pole tofauti na hapo utarudi hapa kuomba radhi.
Kwahiyo mkuu mwanamke anaejitambua ni yule anaetetea wanaume jeeWajua hata kma asingechomwa na hiko kitu kulewa na kuchelewa kurudi kutoka ulevini ni hatari sana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.