Wewe tatizo lako umekariri.
'people were given booklets' na 'electorates were given ballot papers' hapo tatizo nini?
Au Watu na Wapiga kura ndiyo vimekuchanganya.?
Wewe umeuliza kwani wamefanyaje?
Hili ndilo lilikuwa swali lako kama ulifuatia comment ya huyo mtu mbona hukujibu kwenye quote yake huyo mtu.Usiogope kukosolewa wewe?.
Usiwe kama watu wa CCM ambao hukurupuka tuu.
Hii siasa mbaya huyo Mwamunyange yupo nchi gani kikazi Pluto au Mars hahahaha
Huyu sijui dada na Brother hao tunapishana nao sana mlimani city aje Jenerali Mwamunyange mwenyewe.
Tofauti na hapo ni Porojoro......... don't say ni kituo hicho.
Wewe si akili yako unashikiwa utaonaje sasa.?
1.Kwanza watu nyomi haijawahi tokea na wala haita kaa itokee
2.Mwanza kuwa na uthubutu wa kutaka mabadiliko
3.Lowasa kupendeza na shati lake
4.Wazee wa enzi ya Tanu kumkubali Lowasa + Mabadiliko
5.Pipoooooz.......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.