I think huyu jamaa anaandika research lakini sio kama anataka kuwekeza but anyway kwa faida wacha nimjibu japo kwa kifupi
1. saccos ika katika category ya chini ya financial institution ambayo si zaidi ya 800m (BFIA i.e banking and financial institution act of Tanzania)
2. Investment...
mimi nakushauri kuwa invester maana michakato ya biashara huwa ina mikanganyiko mingi sana
na moja ya nyanja ambayo unaweza kuwekeza ni local real estate ya kibongo kwanini
1.soko ni la uhakika sasa hivi asilimia 99 ya wabongo akili yao iko katika kujenga si utawakamata nina uhakika
2...
Mkuu bajaji biashara nzuri sana hasa ukimpata mtu mwaminifu. Kwa kawaida hesabu yake ya siku ni 15000 ila kuna jamaa pale kawe yeye ana bajaj 20 yeye hesabu yake anafanya 20000 per day na pia anakarakana yake maalum kwa kutengeneza bajaj zake tu the guy is so so sucessfully na pia huwa anawalipa...
nakubaliana na pdidy kwa yesu hakuna lisilowezekana luka 1:37, kuna jamaa yangu alimuomba mungu muujiza alioupata hata maswali hakuulizwa kwenye intervyuuu akaambiwa subiri nje, maasam tu uko commited kwa yesu yeremia 33:3, pia zaburi 125, kwa maelekezo zaidi tuwasiliane mungu ni mwema ukimuita...
charity unatakiwa kutumia akili hama mungu anasema lazima umuabudu mungu kwa akili jiulize swali moja tuuuuu
KIJANA ANATOKEA TANGA NA AMELETA KOROSHO swali je korosho zatokea tanga au kusini?????????
anyway tenda wema nenda zako
oh pole sana dada yangu
Unajua nikupe siri
Kitendo cha kwamba anakusifia na akaona positive response hiyo ikampa green light
pili kitendo cha huo ufundi/sanaa za maneno huenda inakufurahisha na ushaidi ni jinsi ulivyo yanukuu hayo maneno nadhani yanajionyesha eg umbo la kampeni, huyu jamaa...
mkuu majibu yoote kakupa masaki hao nami nakubaliana naye unajua mimi nimeoa mei 1, 2010 ni kweli unapofanya maamuzi mazito ya kuoa majaribu huwa yanakuja just kutest ur strength but mind you anayekuja ghafla pia huondoka ghafla
please muingage mchumba wako fasta
pleae be advised accordingly
oh! mkuu huwezi kuchukua over the counter nduguyangu mtu asikudanganye, wewe inayokutambua ni atm yenye visa logo tu, kwani in practical teller anaweza ku debit kwenye akaunti ya benki husika tu na si vinginevyo, ndio maana huyo ndugu wa akaunti ya barclays uk alishindwa ku transact na barclays...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.