Hi....JF,kuna msichana ambaye nimefahamiana nae zaidi ya mwaka sasa,cha ajabu amekuwa akinitamkia anataka nimuoe,nimejarb kumueleza kuwa na mpenzi wangu lakini hanielewi amediriki kumwambia mama yangu,lakn alichijibiwa na mama kuwa maamuzi ni yangu na wala yeye hana nafasi katika moyo...
Mambo vp wana JF,?kuna jambo katika jamii ambali nahisi binfsi hatutendi haki,mwanamke anapopata ujauzito uliotarajiwa, kwa maana ya kwamba kuna taratibu zimezingatiwa pamoja na kufunga ndoa.mwnmke huyu hupongozwa na wazazi wke lakn vilevile na jamaa wanaomzunguka,lakini ukija upande wa...
Mambo vp wana JF,
Mwaka 2008,nikiwa kidato cha sita ilitokea kuwa na mahusiano ya kimapenzi na msichana mmoja aliyekuwa kidato cha tano,tulipendana sana na kuweka maazimio mbalimbali yakiwemo ya kuishi pamoja kama mme na mke,mpenzi wangu huyu alimfahamisha mama yake kwa kuwa alikuwa naye karibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.