Huyu Mwandishi amekua too sensational and biased kwa wakenya. Inamaana ni ukenya wake huyo dada uliomfanya amuue jamaa au ni tabia au hasira zake? Marehem alilewa sababu ya ukenya wake au ni tabia yake kama individual person? Katia chumvi mno kuongelea suala la utaifa ktk hii habari. Ni habari...
Kwani mkuu wewe unaishi wapi?
Maana umepewa option ya UDSM hapo umeendelea kuomba vyuo,sasa unaongelea mambo ya KIU na huna uhakika nacho. Kwanini usiwasiliane na udsm hapo kabla hujaingia kwenye vyuo vinavyoibuka kama uyoga?
To my knowledge, value ya MBA inategemea pia na wapi umeisoma,sio kuwa...
Kwenye bold hapo.
Injinia umenikumbusha mbali sana. Kuna geti dogo lingine lilikua unaibukia wandegeya. Tulikua tunakatiza sana hapo kwenda kuwaona vijana Akamwesi au tukiwa tunaenda mulago.
Deo kumbe ndio yule aliekua anareport toka Kampala(radio One) kipindi fulani?
Mara polisi mara Ikulu. Inaonekana jamaa umesoma nae ila hujanyoosha hapo mkuu,labda umepitiwa kidogo. Inasemekana alikua polisi wewe unasema alikua Ikulu baada ya kuacha world vision.
Unajua nilikua nikiangalia hilo jengo lilikua linanikumbusha jengo fulani(administration),mbele kuna njia fulani niliokua nikipita wakati naenda East African school of Libriarianship. Kwahiyo ulikua unaishi wapi aisee? Club five ulikua unaenda? hivi mhandisi, kule kitivo cha technology ukipita...
Maumivu ya tumbo huanza taratibu! Kama una shaka na uliposoma beba vyeti nenda tcu wakahakiki mkuu. Pia wao ndio wanaopaswa kukwambia kama chuo chako kinatambulika au la,at least kwa hapa home.
Kwenye bold hapo.
Kwanini umesema labda kwa level ya PhD mkuu na sio hizo level za Chini. Inawezekana kuna unalolijua utupe kabla hatujaenda hapo Mzumbe au UDSM kuanza PhD mkuu.
Ni heri mambo yawe tite ili atumie ujanja mwingine kufanya upuuzi wake hali akijua home ujinga ujinga hauna nafasi. Kwanza ukitoa ratiba tite hata muda wa kufanya ujanja unapungua sana. Watoto wana muda mwingi wako idle ndio maana wanakua bize na mapenzi(bf/gf) wakiwa wadogo mno.
We acha tu, enzi hizo ilikua mtu unadebate,unapingana na mtu kwa hoja,baada ya debate mpo marafiki na mnaenda mpirani bila shari wala kununiana. Ilikua inatufundisha mengi sana kupitia such things. Lakini siku hizi hao wanaoenda kututungia sheria wakitofautiana kwa hoja basi ni visasi mtupu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.