amesema hiyo akiba wekeza kwenye miradi itakayokuingizia kipato na wala hakusema kuweka Benki. Mala nyingi mitaji huwa ni tatizo kwa watu wanotaka kuanza au kuendeleza biashara, lakini kwa mtindo kama huo wa kuweka akiba na then unapotaka kuwekeza alhamdululah unazo unawekeza na unaendelea...
suala siyo kukataliwa kuuza the big deal hapa ni bei, gharama za kilimo haziendani na Bei kwa waliotunza baada ya kununua kwetu sisi wakulima sijui ila mimi mkulima nasema gharama za kilimo ni kubwa sana ukilinganisha na unachokipata.
Ni kweli kabisa kwamba mchango wa serikali katika kukiendeleza kilimo ni mdogo sana, kauri mbiu ni nyingi lakini kinachofanyika hakuna. mfano mzuri wa kumdidimiza mkulima wa Tanzania ni kuruhusu uingizwaji holela wa bidhaa za kilimo Tanzania mfano mchele mbovu toka nchi za Asia ambao huuzwa kwa...
vipi umefikia hatua gani mkuu maana na sisis wengine pia tunatamani kuja kufanya miradi kama hiyo lakini tunaomba utupe feed back kama ulianza na changamoto unazopambana nazo na je inalipa au??
vipi umefikia hatua gani ya mradi wako maana hata na sisi wengine pia tunatamani kujiajiri kwa kuwekeza katika miradi mbalimbali na kama ulifanikiwa je inalipa??
"Some people plant in the spring and leave in the summer. If you've signed up for a season, see it through. You don't have to stay forever, but at least stay until you see it through." -- Jim Rohn
mkuu nimesoma hii kitu ni nzuri sana ingawa returns za investment hii unaanza kuziona baada ya miaka 8 kuna mzungu mmoja aliwahi kuwa boss wangu anapanda huko Mbozi na ni zao ambalo market yake ni guarantee na pia unajua tunakoelekea kila kitu kitakuwa certified hivyo kama ukiwa na shamba la zao...
Former president of Tanzania Mwl Julius Nyerere said Africa is of Interest when we are killing one another, if we want to appear in European News we can cause more trouble somewhere
For beautiful eyes, look for the good in others;
for beautiful lips, speak only words of
kindness; and for poise, walk with the
knowledge that you are never alone
For beautiful eyes, look for the good in others;
for beautiful lips, speak only words of
kindness; and for poise, walk with the
knowledge that you are never alone
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.