Labda itokee.mzee wa arachuga,msuba,ngwaya,stiki au majani akifanikiwa ubunge nina mwaga kimba njia nzima kutoka Dar hadi chalinze kwa jinsi ninavyomfahamu Abood.
Ww FREDAWO acha kutudanganya.mbona kuanzia pale soko la Muthurwa,country bus station ukipita polisi kamukunji zunguka coast bus eneo lote la Ngara na kushuka river road ni pa hovyo sana na hata lile soko la kariokoo maji ya vinyesi yanatiririka hovyo tena juu?Dah Nairobi eneo hilo ni pachafu sana.
Jamani ni aibu sana hata sijui niseme nini kuiona taifa la kesho likiangamia na madawa ya kulevya aina ya bangi na hata kile kifaa cha bakhresa(sembe) masaa 24 na wala hawabugudhiwi na chombo chochote cha usalama kwa raia.Nashindwa kuelewa mfano polisi wanashindwa vipi kuyatawanya haya makundi...
Kichwa cha habari mbona tofauti na malumbano yenu?chuki ya nn vijana?Wekeni heshima mbele baina ya nchi zenu.Sioni sababu ya kuchukiana.Aliyetoa mada kataja miji kibao sikuona kama ni miji ya Afrika ya mashariki tu lakini mujue aliyetangulia katangulia hata ufanye nini kuanza elewa Nairobi ndo...
Watu wa porojo ni shida kweli kweli.Hivi unamtaka rais wako ajifungie ndani kama mwali?Yani hasitembee au hasiwakilishe taifa katika shuguli za kiseeikali?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.