Kwasasa Bungeni kuna Katibu Mkuu mstaafu wa Chama cha Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Waziri Mkuu mwenye Naibu Waziri Mkuu, Hongera ulimuondoa Katibu Mwenezi Mstaafu wa Chama.
Pia kuna Wabunge ambao wengi wao wanatuhumiwa kuwa ubunge walipewa tu bila kushinda na Wabunge hawa wanatoka...
Zitto pamoja na mambo mengine huwa anatumia kinywaji hususan anapokuwa na ishu ya public so huwezi jua alikuwa kwenye mood gani.
Hukumbuki alimuomba radhi Lissu baada ya kumsema?
Kwanza naomba ifahamike kuwa mimi ni muumini na mfuasi wa siasa na sera za Magufuli na ninaamini ndie kiongozi Bora kuwahi kuwepo Tanzania na Afrika kwa miaka ya karibuni.
Kwa miaka mitano mishahara haikuwahi kupanda ila mfumuko wa bei ulidhibitiwa na watumishi wengi walilipwa malimbikizo yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.