Kwa mujibu Wa documentary ya kituo cha television cha Aljazeera, meno ya tembo yalisafirishwa ndani ya Presidential Diplomatic Bag wakati Wa ziara ya rais Wa China nchini Tanzania. Documentary hiyo inataja "the highest office in the country" kuhusika na biashara haramu ya meno ya tembo. Wanatoa...
...jamani, nipo Dar tangu jana. Nimefikia Bungoni ambako leo ccm. wamefanya uchaguzi wao wa ndani kupata wagombea wa serikali za mitaa. Sikujua kabla kuwa hawa ndugu zetu wana uchaguzi, kilichonifanya nijue hilo ni kwenda kwangu Beriogo Bar kula mishikaki na ndipo nikakuta mzozo wa wenyewe kwa...
.... coverage wanayopewa wachezaji wa zamani wa Real Madrid (wengine ni wazee kuliko mimi) ina manufaa gani katika michezo au uchumi wa nchi hii? Ingekuwa hii mechi ni charity ningeelewa lakini ujinga huu!!!!!!!!
Na asiniambie mtu kuwa eti itakuza utalii because I simply don't buy it. Kama...
Berkhamsted 'penis' map mocked on FacebookWhile one of the breweries along the canal praised the map as a "great graphic", its shape was compared with male genitalia on social media
Continue reading the main storyRelated Stories
Waterways charity set for launch
A map created to guide visitors...
Wana ukumbi wa JF, kwa yeyote anaemfahamu mmoja (au wote miongoni) kati ya hawa wafuatao naomba ani PM.
1 Gladith Kirey (kuna kipindi alikuwa anafundisha Jangwani Sekondari Dar).
2. Bertha Matto, Joram Giguna na Yokobeth Elias (wote hawa walikuwa wanafunzi Sekondari ya Wigehe).
3. Omari...
Wajameni, nina jamaa yangu tuliekutana katika shughuli za kikazi (kampuni anakofanyia kazi ni wateja wangu).
Anaishi mbali kiasi na ninapoishi, kwa maana hiyo hatukutani mara kwa mara socially. Jirani na ninapoishi yupo dada mmoja ninaemfahamu slightly (kwa jina na anapofanyia kazi - ni...
Kuna technology zamani ikiitwa shorthand, na kwenye masomo ya lugha (haijalishi ni English, Spanish, Kiswahili au lugha yeyote ile) kulikuwa na kufundishwa kutengeneza "summary" au muhtasari. Yote haya yalimlazimisha mwanafunzi kufikiri na kutumia maneno inavyopaswa. Leo hii kuna watu wanaandika...
Forgive them, Lord, they only just missed boarding Flight MH370...
By Jenerali Ulimwengu
Posted Saturday, April 19 2014 at 08:41
It is going to be an even more expensive undertaking in terms of the psychological toll it will exact on the minds of a populace that may feel that it was...
.... la kuuza akili! Simiyu yetu, Lizaboni, Chaburuma, Mwampamba, Shonza, et al karibuni! Wateja watano wa mwanzo watapata discount!
Mods; please naomba msiufute uzi huu maana ni educational research!
Eye Halve a Spelling Chequer
Eye halve a spelling chequer It came with my pea sea. It plainly marques four my revue Miss steaks eye kin knot sea.
Eye strike a quay and type a word And weight four it two say. Weather eye am wrong oar write It shows me strait a weigh.
As soon as a mist ache...
Wengi tushasikia habari ya watu (mwanamke na mwanaume) kung'ang'aniana wakigegedana - especially ikitokea mwanamke ni mke wa mtu anaetoka nje ya ndoa.
Hadithi tunazosikia ni kuwa mume kamtega mkewe, uzushi mtupu.
Hebu soma hapa
http://www.bbc.co.uk/news/magazine-25827175
Naona wengi...
A Point of View: A long winter for Christians in the Middle East
Continue reading the main story
Why we banish the words of the dead (Will Self)
The Trojan horse (WS)
Rebuilding after 9/11 (WS)
JFK and the rise of conspiracy theories (WS)
The last decade has been catastrophic for the Middle...
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Hali mbaya katika sekta ya elimu tunayoishuhudia leo ni matokeo ya mismanagement ya elimu iliyofanywa na serikali ya awamu ya pili. Mwanafunzi akipata matokeo mabaya sekondari kuna uwezekano mkubwa hakupata elimu bora ya msingi.
Ili kuona matokeo ya...
Kama jibu lako ni "ndiyo" basi kuna 77% chances kuwa wewe umeishia darasa la saba au chini ya hapo.
Kinachosemwa na watu sasa ni official.
Source: Afrobarometer research (soma Mwananchi la leo)
...kila mtu anataka kuwa na maisha bora. Kila mtu akiwa na nafasi atashawishika kutumia nafasi yake ili awe na maisha bora. Hilo NALIKUBALI 100% na mimi NDIO LENGO LANGU (I mean kuwa na maisha bora lakini si kutumia nafasi niliyopewa kujinufaisha at the expense of my country). .
Mtanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.