huyu hamna kitu ngoja akakutane na mazembe mamelod as vita ndo atauona moto kwenda angola kukutana na lipuli na mbao na biashara united anajikuta kocha bora afrika
Kwa hiyo riba ya 400 inakuongezea GB1.5 si haki na mda mwingine wanajua kabisa kwa mbongo wa kawaida kumaliza GB1 kwa saa 24 haiwezekani utapeli wa wazi wazi
Mkuu ogopa technology watakupata tuu ngoja watumie tin no yako na kitambulisho cha nida uone mtiti wake na wakikupata wanakamata mali zako inakua uhujumu uchumi na faini za kutosha
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.