Search results

  1. Econometrician

    Biteko: TANESCO inanunua umeme wa Megawati 31 kutoka Uganda na Zambia

    Hii Nchi viongozi utadhani hawana exposure,Wananchi nao sisi ni matahira tu. Yani Nchi iliyozungukwa na maji,makaa ya mawe,upepo,gas kila eneo inakosa umeme megawati 3000 tu huku kuna kampuni moja tu huko Europe wanatumia megawat 2000. Yani umeme umekuwa umeme toka kipindi cha Nyerere hadi...
  2. Econometrician

    Wairan 8000 ni Wayahudi

    Sasa kama Mu Irani ni myahudi aliyepoa inakuwaje Irani wana asili ya kiarabu halafu Wa Israel wa saaa wana asili ya kizungu (whites)????
  3. Econometrician

    Wairan 8000 ni Wayahudi

    Waarabu na waafrika akili zetu ni za kunguni kabisa,hatuna umoja wa kueleweka.Wazungu wanatupelekesha kwa resources zetu wenyewe.
  4. Econometrician

    Wairan 8000 ni Wayahudi

    Ni lazima tukubali kuwa eneo la mashariki ya kati kuna utajiri sana wa mafuta na gas. Na sote tunakubaliana kuwa bara la ulaya chanzo cha kuja Afrika na maeneo mengine ilikuwa kutafuta malighafi za viwanda vyao,wao hizo resources zilikusha zamani sana. Sababu kubwa ya kuwekwa Taifa la Israel...
  5. Econometrician

    Wairan 8000 ni Wayahudi

    Dunia ina mambo sans,watu wanaanzaje kuondoka wakiwa waarabu wanarudi wakiwa Wazungu.yani ukanda wote una waarabu halafu Taifa moja tu ndio lina wazungu-haya ni maajabu. Hata Afrika mataifa ya waarabu yapo ukanda moja,sasa ilikuwaje kukawa na wazungu katika kati ya Waarabu???? Mwenye uelewa...
  6. Econometrician

    Wairan 8000 ni Wayahudi

    Sasa hoja yako ni nini,hata Tanzania kuna wahindi zaidi ya 20K ni wana asili ya Wahindi lakini ni Watanzania.
  7. Econometrician

    Nipe ratiba ya mstaafu aliyekaribu nawe

    Kumbe mie nina 35 ni kijana.
  8. Econometrician

    Nipe ratiba ya mstaafu aliyekaribu nawe

    Msitafu ana familia
  9. Econometrician

    KERO Hii Barabara ya Dodoma – Iringa ni hatari kwa usalama wa watu na vyombo vinavyopita

    Hiyo ni barabara ya Kikwete sema Magufuli ndio alikiwa Waziri.
  10. Econometrician

    Jinsi Iran ilivyojipata chini ya utawala wa Ki-Ayatollah

    Jibu kulingana na definition inayotambulika ya neno maendeleo.
  11. Econometrician

    Jinsi Iran ilivyojipata chini ya utawala wa Ki-Ayatollah

    Kasome uchumi na siasa utaelewa.hata leo hii Tanzania tukiwa na ugomvi na USA ambao ndio wenye hela yao hiyo USD 1 tunawezaza nunnia kwa 500K
  12. Econometrician

    Jinsi Iran ilivyojipata chini ya utawala wa Ki-Ayatollah

    Huwezi pata takwimu sahihi za uchumi wa Irani maana wapo nje ya mifumo ya kifedha ya Dunia kwa muda mrefu.
  13. Econometrician

    Jinsi Iran ilivyojipata chini ya utawala wa Ki-Ayatollah

    Kwa nini wewe unataka watu wafanane kwa kila kitu,kila taifa lina customs zao why uone za kwako ni bora kuliko zao??.huo ni ulimbukeni.
  14. Econometrician

    Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

    Kuna sababu kadhaa zinafanya Wanaume kusita sita kuhudumia watoto hata baada ya kuachana na Mke wake. 1.Mwanaume akihisi kabisa mtoto husika anaweza asiwe wake-inamiwia vigumu sana kimlea mtoto. 2.Kama ndoa husika ilitamatishwa kutokana na tabia za umalaya wa Mwanamke,inakuwa ngumu sana kwa huyo...
  15. Econometrician

    Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

    1.95% ya usingo mothers unasababishwa na wanawake wenyewe. 2.99% ya ndoa zinazovunjika sababu kubwa ni Wanawake. 3.90% ya watoto kutohudumiwa sababu kubwa ni huyo huyo mwanamke. Anaye tetea atetee lakini huo ndio ukweli.
  16. Econometrician

    Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

    Wanawake wengi ni single mothers,hakuna usingo mother wa bahati mbaya labda hao waliofiwa na wame zao -ni tabia za hovyo walizonazo.
  17. Econometrician

    Huyu mtu ananifaa kweli au niachane nae

    Acha uongo hata kwa huyo jamaa yako wa nje tatizo ni wewe,eti unasingizia mambo ya kimungu-mambo ya kimungu ndio yapi ulishindwa kubadili dini hadi mnapanga kuoana hayo mambo ya kimungu hamkuyaweka sawa??.
  18. Econometrician

    Huyu mtu ananifaa kweli au niachane nae

    Huyo Chris akikurudia atakuwa Mwanaume tahira,unasema mwenzio mtoto ila wewe ndio una utoto na ujinga wa kupitiliza.
  19. Econometrician

    Hii hapa Miji na Wilaya 60 zenye mapato mengi na mzunguko mkubwa wa biashara Tanzania

    Hapo ukangalia pasipo kuchambua utaangukia pua,maana Maputo husika hayatoki kwa wananchi direct.ukiacha maeneo ya majiji mijini. 1.Chalinze Mapato makubwa yanayokana na madini (mawe),ujenzi wote wa Dar es Salaam kokoto zake zinatoka Chalinze. 2 Geita Mapato yanayokana na uchimbaji madini ambapo...
  20. Econometrician

    Ujumbe wa kutafakari kutoka kwa Waziri Salum, Katibu binafsi wa Rais Samia

    Acha malalamiko ya kike,sheria zinazoongoza watu katika mafanikio katika hii dunia hazijawahi kuwa na usawa.hakuna cha kutafakari hapo wala cha kitu cha kumrudia mtu. Maisha ya kufanikiwa ni mchezo,misingi ya kufanikiwa ni lazima kudidimiza.kundi fulani au mtu fulani.hakuna aliye juu ya mtu...
Back
Top Bottom