Naomba kuuliza mkuu, unavyosema zinakula cement nyingi unamaanisha nini maana hata za cement pia si zinakengwa kwa kutumia cement, naomba unieleweshe napenda sana nyumba za ma tofali ya kichina hua zina vitia, na inawezekana kupiga plasta na rangi au lazima matofali yaonekane tu
Mkuu naomba unisaidie, mfano mimi nimejenga frem za biashara sasa fundi kapima ukubwa kwandani ni square meter 20 kila frame eti hapo zitaingia box ngapi zile tiles za size ya kati na inaweza kua bei gani kila box au kwenye frem nashauriwa kuweka size gani, naomba msaada please
Mbona simple tu, next time ukikutana na hivyo vi analogia vyako kachukue peleka bafuni kwanza kapige sado nzima ya omo sugua kila sehemu tatanishi toa ukwakwasu wote, piga maji yakutosha mwili mzima sio unafakamia tu bro utapata kutu mwisho
Hilo nalo neno, yaani hujui tu ni kiasi gani natamani hao watoto wote wawe wa kakaangu tuwalee na kuwapa upendo ambao mama zao waliwabania kuupata wakati baba yao akiwa hai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.