Infinix note 7 lite
Ram 4GB
Rom 64GB
Network 2G 3G 4G
Battery mah 5000
Camera nyuma mp 48
Camera mbele mp 8
Haina kipengele
0689866829
Dar gongolamboto
Brand infinix
Model note 7 lite
Ram 4GB
Rom 64GB
Network 2G 3G 4G
Camera
Nyuma mp 48
Mbele mp 8
Battery mah 5000
Unlock Fingerprint face id
Bei 245000
0657230449 call msg whatsup
Dar
Wakuu mm ni fundi tiles aina zote dizaini zote kazi safi na ya kuaminika nafanya kazi popote Tanzania bei ni rafiki, karibuni. Call msg what's up. Telegram
0657230449
Wakuu msaada wenu Juu ya app ya music powerap nimekuwa nikitumia lakini ina isha baada ya wiki 2 sasa nimeipenda sana lakini sijawahi kununua wala Sina acount ya PayPal zaidi ya Tigo airtel pesa
Mtoto wa miaka saba aliyepotea siku nne akutwa amekufa katika nyumba ambayo haijaisha huku Majohe kwa Mkandawile.
Inadaiwa kuna mtu alimchukua akamnunulie pipi kwanzia hapo hajaonekana mpaka leo saa tatu asubuhi alipoonekana katika nyumba ambayo haijaisha akiwa amelazwa na kufunikwa na...
leo nimetembelea mlimani city Kwenye punguzo la cm pale wanauza simu bei kubwa sana tofauti na kule ndani. simu inayouzwa Kwenye punguzo 37000 basi Kwenye maduka mengine ni 32000 Nokia ya tochi double line 60000 ndani ni 54000 jionee tofauti tofauti na hapo Kuna usumbufu wa kijinga Huwezi uziwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.