Brother hao ni matapeli wanachukua gesi halafu wanakuuzia kwa bei ya juu wapate chochote kitu mfano gesi nzima kg 6 ni 23,000 kwao utalipia 50k. Ndondondo ni gharama hakuna nafuu hapo
Tanzania [emoji1241] kila kitu kwetu ni hasara hakuna kitu tanachofaidika nacho gesi ya songosongo imeuzwa kwa watu zile ahadi za Kikwete umeme utakuwa historia tumezisahau kabisa
Umesahau mkoa wa chato stand ya chato uwanja wa ndege chato buigiri Nation Park eti ndio maana Wahaya walikataa kugawanywa mkoa wao kwa sababu ya ubinafsi stand ya Bukoba na stand ya chato uwanja wa ndege chato na uwanja wa ndege Bukoba Tabora Kigoma nk ubinafsi utawaua. Mikoa kwa mikoa wilaya...
Wanajua nini wanafanya unampa mbongo kulipa wafanyakazi tu shida kazi mbovu uchelewaji kufikia tamati hakuna watu wenye dharau km kampuni za kibongo watu wanafanya kazi kulipwa pesa mpaka ufanye kazi kuomba ulipwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.