Hapo tatizo kubwa siyo kukosa kazi, tatizo kubwa ni kukata tamaa! Tulio kosa kazi ni wengi sana. Siku hizi kaz ya degree siyo kukupa kazi ni kukukomaza kuweza kupambana. Pole sana.
Siyo Hawa alikuwa dhaifu, ila binadamu wote ni dhaifu, hata Mungu aliyewaumba nadhani wanamjua kwa asilimia ndogo sana, kwahiyo usitegemee majibu makamilifu. Kwakuwa umeamini uwepo wake rekebisha matendo yako uendane naye kukwepa jehanamu. Ni yeye pekee anayejua kwanini aliumba viumbe dhaifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.